Serikali yetu naona haijitambui kwa kitendo cha kupeleka wasanii Korea badala ya wasomi na wawekezaji

Serikali yetu naona haijitambui kwa kitendo cha kupeleka wasanii Korea badala ya wasomi na wawekezaji

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Leo nimeulizwa na mzungu mmoja ambaye nafanya kazi naye shirika moja hapa Tanzania, hivi serikali yenu huwa akili wanazo kweli?.

Kutumia gharama kupeleka wasanii sababu ni nini? Hapa Tanzania tuna wasomi ambao wangepelekwa wangekuja na mtazamo mpya kwa walichokiona kama teknolojia, afya, maendeleo na n.k.

Najua Tanzania tuna wawekezaji nao wangepelekwa ingekuwa rahisi kutaka kuwekeza huko kwenye bidhaa zitokanazo Tanzania, utalii, uvuvi na n.k.

Sasa unapeleka wasanii ndio wanapost video kutuonesha ujinga
 
Hao wasanii wanaandaliwa kwa ajili ya kampeni
Ukiingia kwenye page zao utakuta wameanza kampeni baridi!

Kichwani kwa mama kumejaa mawazo jinsi gani 2025 atarudi Ikulu
 
Wawekezaji wazawa unadhani wanathaminiwa basi..? Haha
Serikali inajua kuwakomoa na kodi tu, ukijifanya mjuaji unapigwa Money laundering, unatulia.
 
Mpaka sasa sijajuwa fomu ya mama kugombea Urais inagharimu bei gani maana anachangiwa mamilioni tu kila kukicha ya kuchukulia fomu.
 
Walio pelekwa Korea ni wasanii chawa na bahati nzuri mbaya mtu alie soma na kuelimika hawezi kuwa chawa.
 
Huyo mzungu ana uraia? Amefata sheria na taratibu zote za kuwepo nchini?
 
Back
Top Bottom