Pre GE2025 Serikali Za Mitaa Ilikuwa Sauti Ya Mungu Kudhihirisha Uharamia wa CCM. Watanzania Tuamke

Pre GE2025 Serikali Za Mitaa Ilikuwa Sauti Ya Mungu Kudhihirisha Uharamia wa CCM. Watanzania Tuamke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu hutaweza kusafiri. Lakini basi hilo hilo ulilotaka kusafiri nalo likapata ajali. Wewe ukawa umesalimika kwa sababu ya kutosafiri nalo, jambo lililosababishwa na kuugua kwako, ulikokuona ni bahati mbaya sana.

Fikiria CCM ingetenda haki kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, watu wote wangeamini kuwa CCM chini ya Samia imebadilika, na inawezekana kabisa watanzania wangepumbazika na uchaguzi wa mwaka huu, wakiamini kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

Lakini kwa bahati nzuri, nina imani Mungu aliitia upofu CCM, ikafanya uharamia, udhalimu, uchafu mpaka mauaji ya raia ili kuupora uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hali ile imeamsha hamasa, na kupeleka ujumbe kwa raia kuwa kumbe CCM na Serikali, chini ya Rais Samia, katika demokrasia, haki na usalama wa raia ni mbaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo katika nchi hii. Yaani mpaka kufikia kuua watu kwaajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji. Hali hii imewafanya wananchi kuielewa CCM na Samia katika uhalisia wao. Kwa sasa hakuna mwenye imani tena kuwa kunaweza kuwa na uchaguzi huru na wa haki chini ya uongozi wa Samia. Hii imezidisha hasira dhidi yake na dhidi ya CCM.

Baada ya kupewa ujumbe wa wazi kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa, tukatae kuchezewa utu na ubinadamu wetu.

NO REFORM NO ELECTION

BILA YA MABADILIKO HAKUNA UCHAGUZI.
 
Kinachoitia kiwewe CCM ni pale ambapo CDM inapoamua kushiriki uchaguzi wo wote!
Hapo CCM huwa inapoteza imani na wapiga kura.
Kinachobaki ni kutumia nguvu na mabavu kupora ushindi.
CCM haina shida na vyama vingine!
 
Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu hutaweza kusafiri. Lakini basi hilo hilo ulilotaka kusafiri nalo likapata ajali. Wewe ukawa umesalimika kwa sababu ya kutosafiri nalo, jambo lililosababishwa na kuugua kwako, ulikokuona ni bahati mbaya sana.

Fikiria CCM ingetenda haki kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, watu wote wangeamini kuwa CCM chini ya Samia imebadilika, na inawezekana kabisa watanzania wangepumbazika na uchaguzi wa mwaka huu, wakiamini kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

Lakini kwa bahati nzuri, nina imani Mungu aliitia upofu CCM, ikafanya uharamia, udhalimu, uchafu mpaka mauaji ya raia ili kuupora uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hali ile imeamsha hamasa, na kupeleka ujumbe kwa raia kuwa kumbe CCM na Serikali, chini ya Rais Samia, katika demokrasia, haki na usalama wa raia ni mbaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo katika nchi hii. Yaani mpaka kufikia kuua watu kwaajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji. Hali hii imewafanya wananchi kuielewa CCM na Samia katika uhalisia wao. Kwa sasa hakuna mwenye imani tena kuwa kunaweza kuwa na uchaguzi huru na wa haki chini ya uongozi wa Samia. Hii imezidisha hasira dhidi yake na dhidi ya CCM.

Baada ya kupewa ujumbe wa wazi kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa, tukatae kuchezewa utu na ubinadamu wetu.

NO REFORM NO ELECTION

BILA YA MABADILIKO HAKUNA UCHAGUZI.
Ahahahahaha! Sijui baada ya uchaguzi mtasemaje!
 
Tumwachie Mungu ambae inasemekana ni muweza wa yote
 
Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu hutaweza kusafiri. Lakini basi hilo hilo ulilotaka kusafiri nalo likapata ajali. Wewe ukawa umesalimika kwa sababu ya kutosafiri nalo, jambo lililosababishwa na kuugua kwako, ulikokuona ni bahati mbaya sana.

Fikiria CCM ingetenda haki kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, watu wote wangeamini kuwa CCM chini ya Samia imebadilika, na inawezekana kabisa watanzania wangepumbazika na uchaguzi wa mwaka huu, wakiamini kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

Lakini kwa bahati nzuri, nina imani Mungu aliitia upofu CCM, ikafanya uharamia, udhalimu, uchafu mpaka mauaji ya raia ili kuupora uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hali ile imeamsha hamasa, na kupeleka ujumbe kwa raia kuwa kumbe CCM na Serikali, chini ya Rais Samia, katika demokrasia, haki na usalama wa raia ni mbaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo katika nchi hii. Yaani mpaka kufikia kuua watu kwaajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji. Hali hii imewafanya wananchi kuielewa CCM na Samia katika uhalisia wao. Kwa sasa hakuna mwenye imani tena kuwa kunaweza kuwa na uchaguzi huru na wa haki chini ya uongozi wa Samia. Hii imezidisha hasira dhidi yake na dhidi ya CCM.

Baada ya kupewa ujumbe wa wazi kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa, tukatae kuchezewa utu na ubinadamu wetu.

NO REFORM NO ELECTION

BILA YA MABADILIKO HAKUNA UCHAGUZI.
CCM CCM CCM NI JANGA
 
Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu hutaweza kusafiri. Lakini basi hilo hilo ulilotaka kusafiri nalo likapata ajali. Wewe ukawa umesalimika kwa sababu ya kutosafiri nalo, jambo lililosababishwa na kuugua kwako, ulikokuona ni bahati mbaya sana.

Fikiria CCM ingetenda haki kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, watu wote wangeamini kuwa CCM chini ya Samia imebadilika, na inawezekana kabisa watanzania wangepumbazika na uchaguzi wa mwaka huu, wakiamini kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

Lakini kwa bahati nzuri, nina imani Mungu aliitia upofu CCM, ikafanya uharamia, udhalimu, uchafu mpaka mauaji ya raia ili kuupora uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hali ile imeamsha hamasa, na kupeleka ujumbe kwa raia kuwa kumbe CCM na Serikali, chini ya Rais Samia, katika demokrasia, haki na usalama wa raia ni mbaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo katika nchi hii. Yaani mpaka kufikia kuua watu kwaajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji. Hali hii imewafanya wananchi kuielewa CCM na Samia katika uhalisia wao. Kwa sasa hakuna mwenye imani tena kuwa kunaweza kuwa na uchaguzi huru na wa haki chini ya uongozi wa Samia. Hii imezidisha hasira dhidi yake na dhidi ya CCM.

Baada ya kupewa ujumbe wa wazi kupitia uchaguzi wa Serikali za mitaa, tukatae kuchezewa utu na ubinadamu wetu.

NO REFORM NO ELECTION

BILA YA MABADILIKO HAKUNA UCHAGUZI.
Cdm wahakikishe wanaendelea na kampeni ya nguvu nchi nzima kueleza kwanini no reforms, no election. Kuna makundi muhimu yataunga mkono kampeni hii, na mabadiliko yatafanyika watake wasitake. Hakuna uwezekano wa uhalifu kushinda haki.
 
Back
Top Bottom