Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kuna nchi 2 East Africa zinaamini corona ni mapepo na wenye dhambi ndio wanapata.
Hakuna hatua zinachuliwa nchi 3 makini east africa zimefunga mipaka, zimezuia raia kusafiri, zimezuia public transport, lakini nchi ya wachapakazi africa nzima inasema hakuna corona.
Serikali inayo jali wananchi wake huu ndio wakati wa kuonyesha kinga ni bora kuliko tiba.
Hadi sasa wanachi hawajui wamsikilize nani, kila mmoja anaongea anacho jua, bashite naye ameona ni sehemu ya kutokea.
Ivi hawa viongozi hawajui kwamba hata wao likiwakuta hakuna kwenda India wala ujeremani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna hatua zinachuliwa nchi 3 makini east africa zimefunga mipaka, zimezuia raia kusafiri, zimezuia public transport, lakini nchi ya wachapakazi africa nzima inasema hakuna corona.
Serikali inayo jali wananchi wake huu ndio wakati wa kuonyesha kinga ni bora kuliko tiba.
Hadi sasa wanachi hawajui wamsikilize nani, kila mmoja anaongea anacho jua, bashite naye ameona ni sehemu ya kutokea.
Ivi hawa viongozi hawajui kwamba hata wao likiwakuta hakuna kwenda India wala ujeremani?
Sent using Jamii Forums mobile app