Thomson mtau
JF-Expert Member
- May 31, 2024
- 251
- 379
Serikali na viongozi wake ni muda sasa wa kuwambia ukweli wahitimu wetu katika nyanja tofauti ukiangalia idadi ya vijana waliomaliza vyuo inatisha, wanaojitolea kwa posho kidogo ndio usiseme.
Nini cha kufanya fanyieni marekebisho mitaala yetu ili kijana anapomaliza masomo aweze kujiajiri tofauti na hapo mnatengeneza bomu mbaya sana tunakoelekea na dalili zote zipo wazi.
Pia soma
- Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri
Nini cha kufanya fanyieni marekebisho mitaala yetu ili kijana anapomaliza masomo aweze kujiajiri tofauti na hapo mnatengeneza bomu mbaya sana tunakoelekea na dalili zote zipo wazi.
Pia soma
- Wahitimu wa elimu ya juu Tanzania na kitendawili cha kujiajiri