Serious am looking for you

Serious am looking for you

ABiClever Junior

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
948
Reaction score
548
Jina kamili ni Abdulkadir Bin Hassan,
Naishi Tanga,
Kazi yangu ni Tour guide,
Nina miaka 20,
Nahitaji mpenzi serious nahitaji mwanamke anae jitambua kutokana na umri wangu nimeona ni jambo jema kutafuta mwanamke mapema sio kama mtaani hakuna ni maamuzi yangu kutafutia humu.

Sifa za mwanamke ninaehitaji;
Awe ni mwenye tabia njema,
Ajue thamani ya mpenzi,
Awe mtafutaji.
 
Duuh miaka 20 unahitaji kuoa!?? Dogo hebu jipange kwanza kimaisha achana na hayo mawazo.
Ni mtazamo wangu tu
 
Kwa lugha kama hizo mnazotumia hapo nina wasiwasi sana na uhitaji wako wa mwanamke manaake itafika mahali itakuwa ngumu kutofautisha yupi haswa ni 'ke' na yupi ni 'me'. Samahani lakini.
Umesema vema kabisa. Nadhani amekuelewa...
 
Una muda wa kutosha kwa umri huo kukutana na wanawake wengi maeneo mengi si hapa..miaka 20 bado kinda sana... au ulitaka nawewe kuanzisha uzi JF
 
Back
Top Bottom