ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
sijasema natafuta mke nimesema natafuta mwanamke ikiwezekana nije kumuoa baadaeMiaka 20 unataka kuoa?
Fanya vitu vingine vya maana. Achana na haya mambo, wewe bado mdogo sana.
Poa mkubwa kazi na dawaDuh! Dogo Fanya kazi
kakuambia nan? mimi natafuta mwanamke acheni uzee bas sisi bado twapiga selfie na ujanaChalii unatafuta mke miaka 20?
Mke wako bado ananyonya mzee.
Sana tyuNaona chaputa imemchosha kijana[emoji41][emoji41][emoji41]
Kwa lugha kama hizo mnazotumia hapo nina wasiwasi sana na uhitaji wako wa mwanamke manaake itafika mahali itakuwa ngumu kutofautisha yupi haswa ni 'ke' na yupi ni 'me'. Samahani lakini.Sana tyu
Kwa uandishi huu kwel nijuamin nikupe mwanangu hivihivi TYU??Sana tyu
Isipowezekana uwe umemmega mega mtoto wa watu na kumpotezea muda au siyo?sijasema natafuta mke nimesema natafuta mwanamke ikiwezekana nije kumuoa baadae
Usijal mkuu kawaida tyuKwa lugha kama hizo mnazotumia hapo nina wasiwasi sana na uhitaji wako wa mwanamke manaake itafika mahali itakuwa ngumu kutofautisha yupi haswa ni 'ke' na yupi ni 'me'. Samahani lakini.
hakuna mtoto humu,kamegwa na wangap mpaka kuwa namim ila itaweZekanaIsipowezekana uwe umemmega mega mtoto wa watu na kumpotezea muda au siyo?
nipe tyuKwa uandishi huu kwel nijuamin nikupe mwanangu hivihivi TYU??
Umesema vema kabisa. Nadhani amekuelewa...Kwa lugha kama hizo mnazotumia hapo nina wasiwasi sana na uhitaji wako wa mwanamke manaake itafika mahali itakuwa ngumu kutofautisha yupi haswa ni 'ke' na yupi ni 'me'. Samahani lakini.
Kwani yule dem wako ushamuachasijasema natafuta mke nimesema natafuta mwanamke ikiwezekana nije kumuoa baadae