Serious funny Tanzania ni wachekeshaji bora Kwa Sasa hawana mpinzani

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hawa vijana wanaweza Sana. Bado wapo level ya chini na kazi zao zipo mtandaon pekee. Naomba utazame kazi zao utaona jinsi walivyo wabunifu. Ze comedy., mizengwe, vituko show lazima na nyie mfanye mabadiliko tasnia hi ya comedy ieandane na Hali ya Sasa..

NB:SIWAPIGII PROMO BALI NIMEPENDA TUWE TUNASHEA VITU VIZUR PAMOJA
JF SASA USIPOTOA ANGALIZO KAMA HILO UTASKIA WAKURUPUKAJI WANAISHIA KUSEMA NIMETUMWA KUWATAFUTIA KICK
BAADHI YA KAZI ZAO HIZI HAPA
 
Samahani wakuu video zimekataa kuji upload hata hivyo unashauriwa kwenda YouTube na ku search serious funny tz na Iman utaifurahia na kukubaliana na mimi
 
mbona hawachekeshi au hujui kuchekesha watu ni kazi ngumu kuliko kubeba zege
Najua Tena Kwa Hali ya Sasa ivi awamu hii naona watu tumesomeshwa namba itakuwa ni kazi Sana kuwafanyA watu wawe na siha usoni.. Kwa mwanzo Hawa vijana wameanza poa kundi linajitahidi. Nasubiri michango ya wengine ili nione kama mtizamo wako una usahihi japo kidogo
 
jamaa wako vuzur sna aise...huwa nacheka sn nikiangalia vituko vyao.wanaja kiufupi!ya muuza sambusa,hainaga ushemeji,kijana mbishi anaebishana kuhusu diamond na kiba,na ya kiziwi na ya fundi laptop...zilifurahishaga sn hizi nusu nizimie kwa kicheko
 
Siwez wapa sifa sana ila wanajitahdi nimeona baadhi ya video zao
 
Yeah, hainaga ushemeji!😀😀

Lakini bado wanayo kazi kubwa ya kufanya
 
Ila huyo alotoka bora wasingetangaza kama wameanza kuboa vile
 

Kwa niaba ya CREW nzima ya SERIOUS FUNNY TZ tumefarijika sana kuona post hii na tunashukuru kwa support yako kubwa kuiaminisha jamii jambo hili kubwa. Asante sana na MUNGU aendelee kukubariki.

Pia msimu mpya wa pili umeanza kuruka hewani unaweza endelea kuburudika na kupata elimu pia kupitia account yetu ya instagram @seriousfunny.tz pia waweza kuona clip zetu zote kupitia link hii www.youtube.com/c/SeriousFunnyTz

Asanten wote kwa support.
Aldo Simon Mlula
CameraMan and Graphix Designer at SeriousFunnyTz
 
hao hakuna kitu hawana uwezo wakuwafikia wale wa jambo na vijambo.
 
Pia Hawa TV serious funny wako vizuri pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…