Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Dar Es Salaam natafuta mke wa kuoa.
Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji
Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa.
1.Mimi umri wangu ni miaka 29
2. Mkristo toka ktk madhehebu ya kipentecoste
3. Mimi ni mweusi
4. Urefu wangu ni 158inches
5. Elimu yangu ni diploma na ni mfanya kazi
Sifa zake:
1. Awe mkristo kutoka ktk madhehebu ya kipentecoste.
2. Awe na umri wa 19yrs hadi 23yrs,
3. Awe mweupe wa wastani (sio mweupe sana)
4. Awe na elimu ya form 4 au form 6
Kwa msichana ambae yupo serios tafadhali tuwasiliane kupitia email yangu: masabuelly@hotmail.com
Asanteni
Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji
Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa.
1.Mimi umri wangu ni miaka 29
2. Mkristo toka ktk madhehebu ya kipentecoste
3. Mimi ni mweusi
4. Urefu wangu ni 158inches
5. Elimu yangu ni diploma na ni mfanya kazi
Sifa zake:
1. Awe mkristo kutoka ktk madhehebu ya kipentecoste.
2. Awe na umri wa 19yrs hadi 23yrs,
3. Awe mweupe wa wastani (sio mweupe sana)
4. Awe na elimu ya form 4 au form 6
Kwa msichana ambae yupo serios tafadhali tuwasiliane kupitia email yangu: masabuelly@hotmail.com
Asanteni