Serious man needed baadae awe mume

... vigezo vingi zaidi ya interview ya kazi...
ila all in all hakikisha na wewe unakaribia ubora wa hyo mwanaume unayemtafuta sio unasema tu '' AWE TAYARI KUTOFANYA MAPENZI MPAKA MTAKAPOOANA''.... wakati wewe bikra wajanja washaitoa.... inakuwa haina maana hapo[emoji3] [emoji3]
best of luck
 
Aisee mbona wanaume mmepanic sana?? Mm sijalazimisha mtu nimeweka post na sifa za mtu naemtaka kama wengi wafanyavyo lkn nashangaa watu mapovuu[emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Download kwenye playstore utampata.

Siku njema
 
Unasema unataka ambaye yuko tayari kukaa bila kupiga pumbu mpaka mfunge ndoa..!!
Ww huyo uliye mfumania ulikaa naye bila kufanya mpaka mlipo funga ndoa?!
 
Huyu hataki kutoa utam wakati wanaume mpaka mimba ndo utasikia neno tukafunge ndoa ila jitahdi labda
 
Ni kweli ila katika uhalisia hakuna kitu kama hicho it look as an imaginary thng
 
Namba 8 iyo ngumu sana mama. Jaribu kulegeza kamba kidogo nawew loo, upewe bure wew unabana banatuuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…