Serious man needed baadae awe mume

Hyo ya kusema hakuna kula mzigo mpaka ndoa yaani ni kama unajaribu kulazimisha ndoa hv kwa kigezo cha kutokutoa mzigo wakati ndo ni matokeo tu
haahhahaha,mwenzio ametoa Vigezo vyake hapo,utakosa mke ujue lol...........
 
hahahhahaha.......kumbe badae..na sio saizi natangaza nia
 
Hajaona watu wanavishwa mpaka pete akitoa tu mzigo taratibu jamaa anaingia mitini.
[emoji1] [emoji1] kwanza huko ni kutokujiamini kwamba either kuna kaudhaifu fulani kapo akitoa mzigo huo udhaifu utajulikana kwahyo anaamini mkishafunga ndoa hata ukijua huo udhaifu atasema tu tuvumiliane mme wangu sisi ni mwili mmoja
 
Vigezo vyote ninavyo hapo rangi tu ndo imeniangusha kaaah nishakosa mke ivi ivi
 
Hapo ndipo mnapokosa waume wa kuoa. Eti unipi tunda mpaka ujiridhishe!!! Badala ufikirie kunipa show la maana ili unidatishe niwe nakuwaza wewe.....eti wewe umelenga kubana huduma!? Kwahiyo sasa tutakuwa tunafanya shughuli gani wakati wote huo.....Kushirikishana umbea au?

Fanya tafiti ujue wenzako wanaoolewa wameolewa kwa mbinu gani....Hii yako ya kubana papuchi haijawahi kuzaa matunda.

Juzi tu nimetoka kwenye harusi ya jamaa yangu mmoja....Alisema LIVE kuwa sababu ya yeye kumuoa mke wake, mbali na mambo mengine, ni kupatiwa show la maana....Sasa wewe mbanaji sijui utaolewa na nani....Labda babu la miaka 90 huko.
 
Best wishes
 
Kafie mbele huko hujaombwa kuchangia
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]


ninaheshimu sana vigezo vyako lakini pia ninaheshimu zaidi vigezo vyangu.

Kigezo changu kimoja ni mtu awe member kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Hivyo,
Nimeanza kukufuatilia (na kuomba dua ubaki single) mpaka mwakani...kama dua yangu itakuwa imesikizwa basi mwenyewe bila kulazimishwa wala kuona soni nitajisogeza PM kwako.

Kwa sasa endelea kuchangia majukwaa mengine tafadhali.

Mpendwa wa siku za mbeleni,
Mentor.


CC; RRONDO - naamini nimefanya chaguo lililo bora bro!
 
Lazima utafia home ,unapanga ww Mungu? Kama si hivy utaolewa na mpiga debe,utaniambia vinginevyo futa vigezo Mungu anakuona!!!!
 


Kweli Hamy-D huyu dada inawezekana ndiyo sababu ex wake alimwacha na akaamua kutembea na rafiki yake!!!! Hakuna mwanaume wa sasa hivi atakayekubali akae na mwanamke kwenye uchumba tuuuu bila kula mzingo!!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…