Seriously nahitaji mke mwenye umri mkubwa nimuoe ifikapo 1 Julai 2020

Seriously nahitaji mke mwenye umri mkubwa nimuoe ifikapo 1 Julai 2020

Marashi

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
2,877
Reaction score
4,522
Sijali elimu wala kazi yake. Ila ningependa awe mrembo na kikubwa awe mwenye hekima ya kuishi na mume. Endapo atapenda tutafunga ndoa japo sio lazima pia kama hahitaji

Mimi
umri miaka 30
Ni mfanyakazi na naendesha biashara kadhaa
Kristo

Samahani: asiwe Mchaga

Mawasiliano PM yako nipe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijali elimu wala kazi yake. Ila ningependa awe mrembo na kikubwa awe mwenye hekima ya kuishi na mume. Endapo atapenda tutafunga ndoa japo sio lazima pia kama hahitaji

Mimi
umri miaka 30
Ni mfanyakazi na naendesha biashara kadhaa
Kristo

Samahani: asiwe Mchaga

Mawasiliano PM yako nipe



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hutaki kuoa mchaga, wataolewa na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumkataa mchanga means unaukataa utajiri.... Wanawake wa kichaga wanapush sana waume zao kutafuta pesa...
 
Sijali elimu wala kazi yake. Ila ningependa awe mrembo na kikubwa awe mwenye hekima ya kuishi na mume. Endapo atapenda tutafunga ndoa japo sio lazima pia kama hahitaji

Mimi
umri miaka 30
Ni mfanyakazi na naendesha biashara kadhaa
Kristo

Samahani: asiwe Mchaga

Mawasiliano PM yako nipe



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
kama hutojali naomba ueleze kwanini hutaki mchaga
 
Kila mtu ana mtazamo wake. Kwake huenda wana mapungufu fulani.
Huyu si mtu wa kwanza kuona ana negative attitude towards dada zetu. Mmoja yeye alisema dada zetu wanapenda sana pesa ndio maana yeye hawapendi. Huyi jamaa sijui sababu yake itakuwa nini
 
Back
Top Bottom