RJ-White
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 744
- 752
Habari wanaJF,
Nimenunua gari aina ya Nissan Terrano, naomba kujua kwa mtu anayefahamu garage au service center yenye mafundi wazuri kwa magari ya Nissan. Mafundi wengi wako vizuri kwa Toyota, ila nasikia Nissan sio kivile sana hasa kutokana na muundo na aina ya spare zake zilivyo. Ukiacha CFAO ambao naona ni ghali sana, kwa garage za kawaida ni ipi nzuri kwa hapa Dar es Salaam?
Nimenunua gari aina ya Nissan Terrano, naomba kujua kwa mtu anayefahamu garage au service center yenye mafundi wazuri kwa magari ya Nissan. Mafundi wengi wako vizuri kwa Toyota, ila nasikia Nissan sio kivile sana hasa kutokana na muundo na aina ya spare zake zilivyo. Ukiacha CFAO ambao naona ni ghali sana, kwa garage za kawaida ni ipi nzuri kwa hapa Dar es Salaam?