Tena wageukie ukutani wajishikilie vizuriKumbe ndo hawa acha nao dawa iingie leo wanatusumbuaga sana hawa kwenye industry zao
Floor 9 wameshindwa kuchagua kiongozi wa serikali ya mtaa humo mpaka waisumbue serikali kuu!!Kuna matatizo ya kuhudumia ghorofa lenye floor 9 ambalo watu wamenunua apartment. Lift hazifanyi kazi, Bill za umeme anayesimamia jengo hapeleki TANESCO,
CCMChama gani?
Hapana ,mleta mada ndiye mswahili.Mmiliki wake atakuwa mswahili tu
Washaanza kujichekecha paleHata pale magomeni service charge itawafukuza wengi
Service charge yahusisha
Rift
Ulinzi
Usafi
Maintanance
Tanzania kuna mambo ya kifala sanasi bora iyo apartiment bei zao ni nafuu,pale victoria kuna apartiment zinauzwa lakini service charge yake ni around dollar 1500 hadi dollar 2000
Naona pako tupu.Washaanza kujichekecha pale
Ova