Kaka mshana huko nilitoka muda nilikua duka ambalo ni wakala wao hivyo tulikua tunamtuma tu bodaboda analeta
Thanks [emoji1545]Kaka mshana huko nilitoka muda nilikua duka ambalo ni wakala wao hivyo tulikua tunamtuma tu bodaboda analeta
Ooooh kumbe! Mi usoni napaka kale kausoni. Ukichukua set kuna ya usoni pekee na ya mwilini pekeake. Basi ya mwilini napaka mwilini na ya usoni napaka usoni tu. Vitu vya cocoa vinanitoaga chunusi na lile kopo kubwa lina cocoa.Yaan Kwa kifupi wix inangarisha....
Kwa hiyo Mimi napakaga Kwa step...
Hiyo serum...usipake uson kama ilivyo changanya na Sasa ujinga WA hiyo mafuta yake ni mazito sana Kwa Uso wenye mafuta....
Kama hutakia kungara dondoshea serum kidogo sana kwenye mafuta...
Japo Mimi mafuta mengine niliyokupa nayatumia nilikua napaka serum tu uson ila Kwa wix serum yake sio kungarisha tu naona inachubua
Ahahahaha
Vinatoa chunusi sababu ya Yale mafuta ndani yake imagine "butter"Ooooh kumbe! Mi usoni napaka kale kausoni. Ukichukua set kuna ya usoni pekee na ya mwilini pekeake. Basi ya mwilini napaka mwilini na ya usoni napaka usoni tu. Vitu vya cocoa vinanitoaga chunusi na lile kopo kubwa lina cocoa.
labda nikuulize naweza kuchanganya serum kwenye kale kadude ka usoni?
Ile serum ni ya body cream na sio face cream, hapo labda utafute serum yoyote tu nzuri ya face cream yako....mfano AHA OGOoooh kumbe! Mi usoni napaka kale kausoni. Ukichukua set kuna ya usoni pekee na ya mwilini pekeake. Basi ya mwilini napaka mwilini na ya usoni napaka usoni tu. Vitu vya cocoa vinanitoaga chunusi na lile kopo kubwa lina cocoa.
labda nikuulize naweza kuchanganya serum kwenye kale kadude ka usoni?
20000Ok. Aha og inabei gani?
Natumia wix...
Ila naona kama inanibadikisha rangi..
Hahahahaha au ndo inatoka rangi ya jua na shida inanipa rangi yangu asili
Yaan Kwa kifupi wix inangarisha....
Kwa hiyo Mimi napakaga Kwa step...
Hiyo serum...usipake uson kama ilivyo changanya na Sasa ujinga WA hiyo mafuta yake ni mazito sana Kwa Uso wenye mafuta....
Kama hutakia kungara dondoshea serum kidogo sana kwenye mafuta...
Japo Mimi mafuta mengine niliyokupa nayatumia nilikua napaka serum tu uson ila Kwa wix serum yake sio kungarisha tu naona inachubua
Watu wanataka kuvua gamba la kwapani 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sina neno mie
Sio wax ni wixAhahahaha
Nilivyosikia wax ndo nikajua kuwa mambo yetu yale
Watu wanataka kuvua gamba la kwapani [emoji23]
Wape bei