pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari za mwaka mpya wakuu,
poleni na majukumu ya kujenga taifa letu nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
SET PIECES TATIZO KWA SIMBA : kwenye mchezo wa mpira inafahamika kama mipira ya kutenga.
Msimu wa 2016/2017 liverpool ilikuwa na tatizo kama hili 70% ya magoli waliyofungwa yalikuwa ya set pieces mpaka pale walipotafuta solution na kumsajili van dijk ndio tatizo likaanza kupungua na kuisha kabisa mpaka leo imebaki historia.
Kwa muda mrefu simba sc imeshindwa kulifanyia kazi tatizo hili la mda mrefu kuanzia mechi za CAF ,za league kuu mpaka juzi kwenye kombe la mapinduzi cup, simba wameshindwa kutumia nafasi hizo zinazotokana na mipira ya kutenga zikiwa upande wao na kuadhibiwa ikiwa kwa mpinzani.
Kama simba wasipo lifanyia kazi tatizo la set pieces basi hata kwenye kombe la shirikisho wapinzani wao watatumia udhaifu wao kwenye eneo hilo.
mechi zote ambazo simba amepokeo kipigo kwenye kombe la CAF goli zinatokana na mipira ya kutenga na cross kuanzia mechi ya al ahli ,as vita,na kaizer chief aina ya goli zinafanana hili tatizo lisipo fanyiwa kazi basi simba itaenda kuadhibiwa kwa makosa kama hayo.
NB: Wale wazee wanategeana kuruka angani.
poleni na majukumu ya kujenga taifa letu nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
SET PIECES TATIZO KWA SIMBA : kwenye mchezo wa mpira inafahamika kama mipira ya kutenga.
Msimu wa 2016/2017 liverpool ilikuwa na tatizo kama hili 70% ya magoli waliyofungwa yalikuwa ya set pieces mpaka pale walipotafuta solution na kumsajili van dijk ndio tatizo likaanza kupungua na kuisha kabisa mpaka leo imebaki historia.
Kwa muda mrefu simba sc imeshindwa kulifanyia kazi tatizo hili la mda mrefu kuanzia mechi za CAF ,za league kuu mpaka juzi kwenye kombe la mapinduzi cup, simba wameshindwa kutumia nafasi hizo zinazotokana na mipira ya kutenga zikiwa upande wao na kuadhibiwa ikiwa kwa mpinzani.
Kama simba wasipo lifanyia kazi tatizo la set pieces basi hata kwenye kombe la shirikisho wapinzani wao watatumia udhaifu wao kwenye eneo hilo.
mechi zote ambazo simba amepokeo kipigo kwenye kombe la CAF goli zinatokana na mipira ya kutenga na cross kuanzia mechi ya al ahli ,as vita,na kaizer chief aina ya goli zinafanana hili tatizo lisipo fanyiwa kazi basi simba itaenda kuadhibiwa kwa makosa kama hayo.
NB: Wale wazee wanategeana kuruka angani.