Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Calculate mshahara wako wa siku 7Wataalamu naomba tafasiri ya hio maneno hapo juu.lets say mtanzania analipwa 1.4 na kafanya kazi miaka 18
Uneniuza. Mbona inakuja kubwa sana.Calculate mshahara wako wa siku 7
Zidisha kwa miezi 12
Zidisha kwa miaka 10
Utakachopata hapo TRA watakata kodi kitakachobaki ndio net payment
Nimetafsiri kutonkana na input ulizotoa around 24m kabla hawajakata kodiUneniuza. Mbona inakuja kubwa sana.
Hiyo 1.4m ni basic salary au basic salary + allowance ?Uneniuza. Mbona inakuja kubwa sana.
Basic.Hiyo 1.4m ni basic salary au basic salary + allowance ?
...ni mshahara wa siku 7 tu kwa mwaka * idadi ya miaka aliyofanya kazi ....hivyo hiyo figure ya ni tango pori kabisaNimetafsiri kutonkana na input ulizotoa around 24m kabla hawajakata kodi
Chukua hiyo basic pay ,igawa kwa siku 30...then zidisha Mara 7....jibu utalopata zidisha kwa idadi ya miaka aliyofanya.overUneniuza. Mbona inakuja kubwa sana.
1.chukua hiyo 1.4 gawa kwa siku 30Wataalamu naomba tafasiri ya hio maneno hapo juu.lets say mtanzania analipwa 1.4 na kafanya kazi miaka 18
...Mara miaka 10 sio 8 mkuu...sorry1.chukua hiyo 1.4 gawa kwa siku 30
2.jibu utakalopata hapo juu lizidishe mara siku 7
3.jibu utakalopata hapo juu lizidishe Mara miaka 8
...4...jibu utakalopata hapo juu no.3 ndio kiasi sahihi utakachopata kama severance pay kwa miaka uliyo Fanya mkuu
...roughly unapata Tzs 3,266,666Basic.
Uko sahihi naamini mhusika atakuwa amepata ufafanuzi ulio sawa...Mara miaka 10 sio 8 mkuu...sorry
...humbledUko sahihi naamini mhusika atakuwa amepata ufafanuzi ulio sawa
Kwa hio ni mara miaka 10?...Mara miaka 10 sio 8 mkuu...sorry
...yeahKwa hio ni mara miaka 10?
Na sio 18.
Kwa maana yake kuna limitation ya miaka.
Not more than 10 years?
Mshahara wa siku 7 ×10Uneniuza. Mbona inakuja kubwa sana.