SEX ALLERGY: Hivi kuna makundi ya watu hayafai ktk mapenzi?

SEX ALLERGY: Hivi kuna makundi ya watu hayafai ktk mapenzi?

Jaiter

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
618
Reaction score
1,552
Karibu tujadili hili, hivi inawezekana kama ambavyo kuna watu wana aleji na nyama, wali, panadol etc Je kuna uwezekano kuna kundi fulani la watu kwao mahusiano ya kimapenzi huwa chanzo cha maanguko ktk kazi, biashara n.k?

Yaani wasipojihusisha na mapenzi wanafanikiwa? Lakini wakijihusisha tu wanagusa pasipostahili ilihali wengine mapenzi ni kama kibali cha kufanikiwa? Kuna ambao wanaliona hili ktk jamii? Au wenye hekima au uzoefu?
 
Hamna kitu kama hicho hiyo allergy ya sex ni mapepo hayo,sex tumeumbiwa wote ili tuwe comfortable ba tuyafurahie maisha.
 
Kuna ule msemo unasema " Sex is a soul ties! Kuna uwezekano ikawa ndo chanzo cha mikosi au chanzo cha baraka yaan inategemea unakutana na nani?

Mfano mzuri ni rafiki yangu, yeye akikutana kimwili na mwanamke fulani basi lazima apate mchongo apige pesa ya maana.

Nafikir kwa wengine ni vice versa.
 
Hamna kitu kama hicho hiyo allergy ya sex ni mapepo hayo,sex tumeumbiwa wote ili tuwe comfortable ba tuyafurahie maisha.
umeongea ki ukali sana et "BA"
 
Back
Top Bottom