Fanya mazoezi usitafute visingizio!!!! Isitoshe sex nayo ni sehemu ya zoezi na refresher ya mwili but mind kilakitu na wakati wake.
mukulu...sidhani kama kuna madhara yoyote.
Mimi najifua gym five-six days a week, na m &t naenda asubuhi. Kabla ya kuondoka napata cha chap chap......!
Wakati mwingine mchana pia napiga 1-2 then naenda gym. Hakuna madhara yoyote na vipimo vyangu-physical tests zote zipo safi...!
Ni kweli to me sometimes sex ni part ya warm up as cardio exercise....
mukulu...sidhani kama kuna madhara yoyote.
Mimi najifua gym five-six days a week, na M &T naenda asubuhi. Kabla ya kuondoka napata cha chap chap......!
Wakati mwingine mchana pia napiga 1-2 then naenda gym. Hakuna madhara yoyote na vipimo vyangu-physical tests zote zipo safi...!
Ni kweli to me sometimes sex ni part ya warm up as cardio exercise....
Fanya mazoezi usitafute visingizio!!!! Isitoshe sex nayo ni sehemu ya zoezi na refresher ya mwili but mind kilakitu na wakati wake.
hivi ukiwa ni mtu wa kwenda gym na kufanya
mazoezi kwa ujumla,halafu na una sex mara kwa mara
inakuwaje?????
ushauri wa kitaalam unasemaje???????
kwa mfano umetoka gym na umechoka
unafika home wife anataka,kipi ni sahihi
kufanya?????
wale walioa wanafanyaje???
wataalamu nipeni ushauri...
Madhara yapo, hasa kwenye viungo vya mwili(joints) na perfomance yako ya ktk mazoezi inapungua.uki sex halafu ukienda gym utaona kabisa unakuwa mzito, hata pumzi zinakuisha kabisa, huwi fasta kama kabla ya kumega na ukitoka hapo kwenye mazoezi lazima usikie maumivu flani kwenye ankle, kiuno, mbavu, nyonga na ukiwa mchezaji mpira ndo balaa unaweza ushindwe cheza mpira kabisa.