Sasa unakasirika nini baba mchungaji?!Kusema una kitambi hadharani?!Owkey owwkeyyy ngoja niseme ukweli....mazoezi kwako ni kama sala umejijenga ukajengeka!Wenye wivu wajinyonge maana hatuna vitambi sie...!Nimekasirika sana hapa! Kwanza mazoezi hufanyi tena kila kitu umechoka....watch out!
ahsante rev.mm huridhika nikikutana na laaziz wangu automatic huwa napata raha tu za ajabu.kila mtu na alivyo.kwangu haijalishi shepu,umbo au kipimo.kwangu mm hayo sio muhimu.vilivyobaki vinakuja automatic
Hahahhaa...akubali achekwe!!?Hahahhahahhaaa.makubwa jamani ,naona anataka kudinai hivihivi.Na vitambi ni janga la kitaifa..lol
Sex mingi sana!!! Lundo la sex"PEOPLE WHO EXCERSIZE MORE THEY WIL HAVE MORE SEX" Duh! Mchungaji hapa ulimaanisha nin?
Unapenda MORE SEX--------Lundo la sex, sex zaidi na zaidi FF?!!!mmmmh! nice one Rev.... Dah!
BTW Waleikum Salam.
Sasa unakasirika nini baba mchungaji?!Kusema una kitambi hadharani?!Owkey owwkeyyy ngoja niseme ukweli....mazoezi kwako ni kama sala umejijenga ukajengeka!Wenye wivu wajinyonge maana hatuna vitambi sie...!
Unapenda MORE SEX--------Lundo la sex, sex zaidi na zaidi FF?!!!
Babu mbona hata sie wafanya mazoezi kuna wakati tunambaja?au ni hewa inaingia wakati wa majamboz?Abs crunches ni zoezi nzuri sana sema gumu...u can do it at home with fitness ball.
Sitanii Saint hao na matumbo yao hasa ya mbele hapana.