Sexual healing - marvin gaye - (1982)

Daaaah
Inamaana hisia zako zinakurudisha kwenye hicho kikatuni ???
:mimba: ndo current status,sasa hizi hisia zinakonipeleka siwezi kuzimaliza kwa sexual healing....l.o.l
 
kwa kifupi jamani mi napenda sana OLDIES hakuna nyimbo za 80's na 90's ambayo ikipigwa sii-feel,
kwa kifupi kwa miaka ya hii kwa kweli sioni jipya la kunifanya nipende hizi nyimbo za kiyoyo ambazo hazina mvuto hata chembe,
Hivi kwa hapa Arusha ni wapi naweza kuzicheza hizioldies jamani jamani?
 
How can my day be good while my living hero and his son might get arrested for war crimes?
i hate these pigs!
Back to topic: hisia nyingine yabidi ziamshwe kwa akili,watu wanaweza acha kufanya kazi wakabaki wana reflect wimbo...l.o.l


Michelle am telling you saizi ile forum kwa hii leo nilikua naenda nagusa na kuondoka yani sina energy zimechuliwa na hasira za wale pigs na vibaraka wao kana akina Ocampo....Dont know what to say...

:focus:

Nakwambia nashuku tu aliutoa wakati muafaka... Ingekua mchana ingebidi kuacha kazi....
 
when I get that feeling
I want Sexual Healing
Sexual Healing, oh baby
Makes me feel so fine
Helps to relieve my mind
Sexual Healing baby, is good for me
Sexual Healing is something that's good for me



SIKIA MANENO HAYO..nimekumbuka hadi wapenzi wangu wa zamani...Achilia mbali mama wototo..
 
mmmhhhh dearest....kuacha kazi kabisaa? sasa si itabidi huyo sexual healer naye aache kazi? manake itakuwaje sasa? mi sipo,9t 9t!
 


Babaubaya kama kweli unapenda music... you appreciate all types... yani sasa hivi hamna music ilokuvutia?? Unasikiliza kweli???
 
I can get on the telephone and call you up baby, and
Honey I know you'll be there to heal me
The love you give to me will free me
If you don't know the thing you're dealing
NAPENDA SANA HAYO MANENO KWENYE HUU MWIMBO NA VILE ANAPOIMBA SEHEMU HIYO
 
Ooohhh yeahh..
umenikumbusha Thailand mmhhh..
sante mkuu..
 
Nyimbo nyingine muwe mnatumiana kwenye PM,mnaamsha tu hisia za watu deraest Lizzy & Asha....sijapendezwa......l.o.l:mimba:
Heheehehe pole dearest!!!Wapi tunasherekea bday??? !Nataka kuimba Haaapy birthday to you...Haaaaapy birthday to you...Haaapy biryhday!!!
 
Imagine a muscular chocolatey guy singing it at Karaoke........

.......anyone?
 
Imagine a muscular chocolatey guy singing it at Karaoke........

.......anyone?
I cant imagine aisee! hapo umekaa unamsikiliza halafu unahisi anakuimbia wewe lol
 
Hivi si huyu jamaa aliuliwa kwa ajili ya ushoga?

Hii stori kwamba jamaa alikuwa shoga imekuwepo muda mrefu sana, kiasi kwamba mpaka leo nilikuwa naamini jamaa alikuwa shoga. Hii si kweli hata kidogo, nadhani watu walipotosha kutokana na jina lake-Marvin Gaye, so gay for Gaye. Kuhusu maisha ya ndoa ni kama hapa

".......Gaye married twice. His first marriage was to Berry Gordy Jr.'s sister, Anna Gordy, who was 18 years his senior. Marvin and Anna were married on January 8, 1964 when Gaye was 24 and Gordy was 42. The marriage imploded after Marvin began courting Janis Hunter, the daughter of Slim Gaillard, in 1973. Anna filed for divorce in 1975; the divorce was finalized in March 1977........
In October 1976, he married Janis, who was 17 years old when they met. However, the marriage dissolved within a year. After attempts at reconciliation, Janis filed for divorce in 1979. The divorce was finalized in February 1981. During this time, Marvin began dating a model from the Netherlands named Eugenie Vis. In 1982 Gaye became involved with Lady Edith Foxwell, former wife of the British movie director Ivan Foxwell, and spent time with her at Sherston, her Wiltshire estate"

Watoto:
"...Gaye had three children. Marvin Pentz Gaye, III (b. 1965), who was adopted by his first wife Anna. The singer disclosed this in David Ritz's biography on Gaye, Divided Soul: The Life of Marvin Gaye, saying he was afraid of being criticized for not producing a child. Later, Gaye had two children with Janis Hunter, Nona Marvisa, nicknamed "Pie" by her dad (born September 4, 1974) and Frankie "Bubby" Christian Gaye (born November 16, 1975). Gaye introduced his daughter to a national audience during a show in 1975..."

Kisa cha kifo chake:

"...When the tour ended, he attempted to isolate himself by moving into his parents' house in Los Angeles. As documented in the PBS "American Masters" 2008 exposé, several witnesses claimed Marvin's mental and physical condition spiraled out of control. Groupies and drug dealers hounded Marvin night and day. He threatened to commit suicide several times after bitter arguments with his father. On April 1, 1984, Gaye's father fatally shot him after an argument that started after his parents squabbled over misplaced business documents. Gaye attempted to intervene, and was killed by his father using a gun that Marvin Jr. had given him four months before. Marvin Gaye would have turned 45 the next day. Marvin Sr. was sentenced to five years of probation after pleading guilty to voluntary manslaughter. Charges of first-degree murder were dropped after it was revealed that Marvin Sr. had been beaten by Gaye before the killing. Doctors discovered Marvin Sr. had a brain tumor but was deemed fit for trial. Spending his final years in a retirement home, he died of pneumonia in 1998."

Source: wikipedia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…