Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Alpha Blondy aliwahi kupewa jina la Bob Marley wa Afrika kutokana na umahiri wake katika muziki wa Reggae.
Siku ya leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ametimiza miaka 68
Baadhi ya nyimbo zilizompatia umaarufu mkubwa ni Jerusalem, Masada, Fanta Dialo, Apartheid is Nazism
Siku ya leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ametimiza miaka 68
Baadhi ya nyimbo zilizompatia umaarufu mkubwa ni Jerusalem, Masada, Fanta Dialo, Apartheid is Nazism