SFO: Hivi ndivyo Chenge alihusika kashfa ya rada!

Halafu mwanasheria Mkuu wa serikali akiambiwa Mikataba ipitie Bunge ili kujaribu kuzui kama si kupunguza wizi kama huu, yeye atakwambia katiba hairuhusu kisa wanataka kuiba. kweli tanzania italiwa na wenye meno.
 
tatizo mnafikiri somebody care to know! Hivi kuna kitu gani tunaweza kukiandika na kukifafanua ili watu waone ubaya wake? nothing. absolutely nothing.
Mwanakijiji,
Watu wanaona ubaya wa mambo mengi tu tunayoyaandika humu na kwingineko. Mkinyamaza kabisa au mkakata tamaa mambo yatakuwa mabaya zaidi. Hatuna Bunge la maana, hatuna vyombo vya habari za uchunguzi vya maana, Taasisi za serikali kama TISS na PCCB ndio kama hizo,...... Angalia na tafakakari kwa makini uone bila ya watu kama wewe, JF, kama akina EPA, Richmond zingefika hata hapo zilipofikia.
 
 

Mie nafikiri ni kwa sababu huyu bwana anashikilia makabrasha yote muhimu ya ufisadi.
 
Sometime huwa naliiiiaaaaa halafu natulizia na ganja! Bongo haina mwenyewe
 
Da mmenichanga na hii mada Duu!!! Yaani Sirikali Kwishneeeeeee aina maamuzi kama Housegeli Du!!! House girl noma akiamua kitu mama mwenye nyumba anapinga atazania anapinduliwa.
 
Salamu zangu!

Babu! Belgium naskia kuna mgao wa umeme! Huku hali ni shwari! Kuna mvua za elnino! Maji kibao mtera,kihansi,nyumba ya mungu! Umeme wa kutosha kabisa! Ila nadhani mafisadi ndo wanaupata, mana maeneo ya kama kule ninakoishi ni so!! Kiza kinene! Sema cha kushangaza ni kwamba bar bado zipo wazi! Kuhusu huo mgao wenu, kwa nini msiconvert hiyo snow kua maji kwa ajili ya kusukuma mitambo? Au kama ni nuclear umeme, nadhani mje kujenga mitambo huku kigoma karibu na colony la zamani kisha tunaupitisha bahari....au? Na sisi huku tupigane coz si hela za kigoma zitakuja kwa mafisadi dar!! Na kama jamaa wanaogopa terrorism kutoka kwa ndugu zetu wa pemba (wanyonge hawa) pale SUA kuna panya wa kudetect mabomu!! Kwa hiyo hiyo plant italindwa na panya!!! Ha! Jamani!!

Naskia pia mmeishiwa na nyama! Huku ipo nyingi sana! Yani ya kutosha! Ya kumwaga. Cha kushangaza ni kwamba, eti mifugo inakufa kwa njaa! Na pia kuna watu milioni moja wapo na janga la njaa! Inashangaza! Najiuliza, kwanini hii mifugo agalabu hafifu, kwa nini wasipewa wajanga hawa? Mana kwa sasa tunapoteza mifugu na watu!! Na mingine inapelekwa comoro! All the way from dodoma,shinyanga to comoro! Najiuliza tu jamani!! Sina uhakika kuhusu mchele umebaki kiasi gani!! Sijui. Ila najua tu kwamba pale ifakara pekee kuna ardhi na kila hali bora ya kutengeneza mchele kwa ajili ya Tanzania nzima na kuuza!! Nakupa mfano.....Kuna sehemu moja kame kuliko zote katika mkoa wa kilimanjaro. Ajabu ni kwamba....ndo wanatoa mchele wa kutosha kilimanjaro yote kwa kutumia maji ya mfereji! Kama kuna mtu anabisha aende Moshi, chekereni, kama kilometre 30 toka moshi mjini. Ofcoz pale kuna kitu kinaitwa Kilimanjaro Agricultural Training Centre!! Alas! ipo chini ya wajapan! wakishirikiana na maprofesa wa SUA. Maprofesa wetu ofcoz either wamechoka wakaingia katika politics wenyewe au hawasikilizwi kabisa inturn wanalisha familia zao tu!

Ulivokuja mara ya mwsho ulisema na huko kuna foleni ya kutosha!! Huku hakuna hata kidogo!! Yani kuna barabara nyingi kweli! Hasa maeneo ya oysterbay! Da! Kule bana....wameanza kurudishia lami ilioarabika ilowekwa na wakoloni zamani!! Sijui wamerudi? Sinza ninapoishi pia naisi itafika! Uchaguzi wa serikali za mitaa umefika! Ila naona mwaka huu wamechonga tu! kwa hiyo kuna vumbi kweli! Nimeskia kwamba wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2050 wataweka lami! Ninachotaka kusema ni kwamba barabara zetu ni kubwa sana! na zina nafasi za kutosha kabisa iloachwa kwa ajili ya kuongezewa indapo foleni itakua mbaya kama huko hata yakapita magari kumi kila upande! Sisi hatuna haja ya kujenga flyovers kama Ghana na Kenya ambao wameanza. Tuna ardhi ya kutosha sana! Mfano ni ule wa barabara tatu pale! Nafasi kubwa pande zote! Na sasa wanaongeza! Ila naona kuna baadhi ya majengo hawavunji! Kama lile la green acres business centre ambalo awali ilikua ni shule! BUT there demolishing the next building adjacent to it! Naiskia eti hiyo barabara inaenda alikotoka kiongozi wetu! Mana yule aliepita alitengeneza daraja na barabara ya kwenda kwake! Tungoje akitokea Kule kwenu ulikokimbia yeye atatengeneza itayolekea Rwanda in spirit of East africanism!

Ungependa kujua kuhusu hospitali zetu bora? Nitaliacha hilo na kuzungumizia habari za shule zetu na lugha ngeni ya kiingereza, Yani luga ya colonial masters wetu japo eti inasemekana wao walikua wakitutakecare! Kama umekua ukifatilia katika mitandao ambayo ni mingi kabisa na ya kutosha na hasa kama internet yako inatumia zile fibre optic cable za kupita baharini za spidi kali! Itakua ulimsikia kanumba akiwa katika lile jumba na kaka mkubwa!!! Inasemakana alisema nanukuu "...I am closing..." akimanisha he is "fasting" katika kile kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani! Sasa bwana, watanzania wacha wapate na hasira!!! wakamcheka! wakamzomea! Najiuliza.....watanzania hawa wamesoma shule zipi ambazo kingereza kilifundishwa vizuri hivo? Mana mimi nilikosoma kwa kweli hali haikua nzuri. Kwa maana ingine, kumcheka kanumba, ni kujicheka sisi wenyewe na mfumo wetu wa elimu! Ila kubwa zaidi, ni kudharau luga yetu ile baba wa taifa alituunganisha tukapata uhuru?

Sijui kama ungependa sana kuskia jinsi tumesherekea siku ya kufa kwa baba wetu wa taifa! Tulikaa nyumbani ofcoz!! Sina uhakika kama angekuepo angekubali hiyo hali au angesema tufanye kazi za jamii kama vile kusafisha mitaa yetu ambayo ni misafi kweli! haswa alikoamia lubango! Babu yangu aliwai niambia wakati wa bwana mkoloni, walikua wanatenga siku maalumu za kufanya kazi kwa mitaa ikiwepo usafi,kutengeneza barabara na mifereji ya maji ili jamii ipate!!! Ukienda utaona hadi leo hizi barabara zipo na mifereji! Najiuliza, hiyo sio muimu zaidi kipindi hiki cha uhuru? Tufanye kwa mapenzi ya taifa? Lakini huku kwetu ni kusafi zaidi!!!

Niishie hapo? Mmechoka? Mna kazi nyingi maofisini? Babu, una kipindi? Na nani? Moja ya wanafunzi? Au umetoka umekuja mjini kushulikia mishe mishe zako? Au sasa hivi upo unapata lunch! kisha ukirudi ofisini ni saa kumi! na mda wa kukaa ofisini umeisha??

Basi nimemaliza. Someni. Fanyeni kazi! Nawapenda wooooote! Sana! Labda kesho ikifika (taifa la kesho) sisi tutabadili mambo na kufanya nchi kua mbaya kama anayoishi Babu ambayo wamefanya ukatili kwa kutokomeza mmbu!! Kwa hiyo malaria hakuna!!! Wala Malale!!

Asenti
Courtesy of A. Kileo
 
Salamu zangu!

Babu! Belgium naskia kuna mgao wa umeme! Huku hali ni shwari! Kuna mvua za elnino! Maji kibao mtera,kihansi,nyumba ya mungu! Umeme wa kutosha kabisa! Ila nadhani mafisadi ndo wanaupata, mana maeneo ya kama kule ninakoishi ni so!! Kiza kinene! Sema cha kushangaza ni kwamba bar bado zipo wazi! Kuhusu huo mgao wenu, kwa nini msiconvert hiyo snow kua maji kwa ajili ya kusukuma mitambo? Au kama ni nuclear umeme, nadhani mje kujenga mitambo huku kigoma karibu na colony la zamani kisha tunaupitisha bahari....au? Na sisi huku tupigane coz si hela za kigoma zitakuja kwa mafisadi dar!! Na kama jamaa wanaogopa terrorism kutoka kwa ndugu zetu wa pemba (wanyonge hawa) pale SUA kuna panya wa kudetect mabomu!! Kwa hiyo hiyo plant italindwa na panya!!! Ha! Jamani!!

Naskia pia mmeishiwa na nyama! Huku ipo nyingi sana! Yani ya kutosha! Ya kumwaga. Cha kushangaza ni kwamba, eti mifugo inakufa kwa njaa! Na pia kuna watu milioni moja wapo na janga la njaa! Inashangaza! Najiuliza, kwanini hii mifugo agalabu hafifu, kwa nini wasipewa wajanga hawa? Mana kwa sasa tunapoteza mifugu na watu!! Na mingine inapelekwa comoro! All the way from dodoma,shinyanga to comoro! Najiuliza tu jamani!! Sina uhakika kuhusu mchele umebaki kiasi gani!! Sijui. Ila najua tu kwamba pale ifakara pekee kuna ardhi na kila hali bora ya kutengeneza mchele kwa ajili ya Tanzania nzima na kuuza!! Nakupa mfano.....Kuna sehemu moja kame kuliko zote katika mkoa wa kilimanjaro. Ajabu ni kwamba....ndo wanatoa mchele wa kutosha kilimanjaro yote kwa kutumia maji ya mfereji! Kama kuna mtu anabisha aende Moshi, chekereni, kama kilometre 30 toka moshi mjini. Ofcoz pale kuna kitu kinaitwa Kilimanjaro Agricultural Training Centre!! Alas! ipo chini ya wajapan! wakishirikiana na maprofesa wa SUA. Maprofesa wetu ofcoz either wamechoka wakaingia katika politics wenyewe au hawasikilizwi kabisa inturn wanalisha familia zao tu!

Ulivokuja mara ya mwsho ulisema na huko kuna foleni ya kutosha!! Huku hakuna hata kidogo!! Yani kuna barabara nyingi kweli! Hasa maeneo ya oysterbay! Da! Kule bana....wameanza kurudishia lami ilioarabika ilowekwa na wakoloni zamani!! Sijui wamerudi? Sinza ninapoishi pia naisi itafika! Uchaguzi wa serikali za mitaa umefika! Ila naona mwaka huu wamechonga tu! kwa hiyo kuna vumbi kweli! Nimeskia kwamba wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2050 wataweka lami! Ninachotaka kusema ni kwamba barabara zetu ni kubwa sana! na zina nafasi za kutosha kabisa iloachwa kwa ajili ya kuongezewa indapo foleni itakua mbaya kama huko hata yakapita magari kumi kila upande! Sisi hatuna haja ya kujenga flyovers kama Ghana na Kenya ambao wameanza. Tuna ardhi ya kutosha sana! Mfano ni ule wa barabara tatu pale! Nafasi kubwa pande zote! Na sasa wanaongeza! Ila naona kuna baadhi ya majengo hawavunji! Kama lile la green acres business centre ambalo awali ilikua ni shule! BUT there demolishing the next building adjacent to it! Naiskia eti hiyo barabara inaenda alikotoka kiongozi wetu! Mana yule aliepita alitengeneza daraja na barabara ya kwenda kwake! Tungoje akitokea Kule kwenu ulikokimbia yeye atatengeneza itayolekea Rwanda in spirit of East africanism!

Ungependa kujua kuhusu hospitali zetu bora? Nitaliacha hilo na kuzungumizia habari za shule zetu na lugha ngeni ya kiingereza, Yani luga ya colonial masters wetu japo eti inasemekana wao walikua wakitutakecare! Kama umekua ukifatilia katika mitandao ambayo ni mingi kabisa na ya kutosha na hasa kama internet yako inatumia zile fibre optic cable za kupita baharini za spidi kali! Itakua ulimsikia kanumba akiwa katika lile jumba na kaka mkubwa!!! Inasemakana alisema nanukuu "...I am closing..." akimanisha he is "fasting" katika kile kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani! Sasa bwana, watanzania wacha wapate na hasira!!! wakamcheka! wakamzomea! Najiuliza.....watanzania hawa wamesoma shule zipi ambazo kingereza kilifundishwa vizuri hivo? Mana mimi nilikosoma kwa kweli hali haikua nzuri. Kwa maana ingine, kumcheka kanumba, ni kujicheka sisi wenyewe na mfumo wetu wa elimu! Ila kubwa zaidi, ni kudharau luga yetu ile baba wa taifa alituunganisha tukapata uhuru?

Sijui kama ungependa sana kuskia jinsi tumesherekea siku ya kufa kwa baba wetu wa taifa! Tulikaa nyumbani ofcoz!! Sina uhakika kama angekuepo angekubali hiyo hali au angesema tufanye kazi za jamii kama vile kusafisha mitaa yetu ambayo ni misafi kweli! haswa alikoamia lubango! Babu yangu aliwai niambia wakati wa bwana mkoloni, walikua wanatenga siku maalumu za kufanya kazi kwa mitaa ikiwepo usafi,kutengeneza barabara na mifereji ya maji ili jamii ipate!!! Ukienda utaona hadi leo hizi barabara zipo na mifereji! Najiuliza, hiyo sio muimu zaidi kipindi hiki cha uhuru? Tufanye kwa mapenzi ya taifa? Lakini huku kwetu ni kusafi zaidi!!!

Niishie hapo? Mmechoka? Mna kazi nyingi maofisini? Babu, una kipindi? Na nani? Moja ya wanafunzi? Au umetoka umekuja mjini kushulikia mishe mishe zako? Au sasa hivi upo unapata lunch! kisha ukirudi ofisini ni saa kumi! na mda wa kukaa ofisini umeisha??

Basi nimemaliza. Someni. Fanyeni kazi! Nawapenda wooooote! Sana! Labda kesho ikifika (taifa la kesho) sisi tutabadili mambo na kufanya nchi kua mbaya kama anayoishi Babu ambayo wamefanya ukatili kwa kutokomeza mmbu!! Kwa hiyo malaria hakuna!!! Wala Malale!!

Asenti
Courtesy of A. Kileo
 
Deusdedit,

That was a very interesting read. Almost poetic.
I normally don't read such long posts but I just found myself at the end of your post having enjoyed it immensely!!

Do keep them coming

Injinia
 
Mie nafikiri ni kwa sababu huyu bwana anashikilia makabrasha yote muhimu ya ufisadi.
Hili nakubaliana nalo haswaa 100 kwa 100! Nadhani amewatishia wote kuwa atawaumbua! Na kwa kujua ana nguvu hiyo ndiyo kitu kilipelekea yeye kufanya vyote kama alivyotaka au amua mwenyewe. Hii inaonyesha wazi kama isingelikuwa SFO, hakuna ambaye angekuwa na ubavu wa kumtaja popote na kwa lolote!
 
 
 
Je kuna ushahidi wa wazi kumshitaki Chenge? angalieni na sheria zetu pia kama ina uwezo wa kumbana mtu kama chenge hasa wataalamu wetu wa mambo ya sheria huko Takukuru wakiandaa Chaji shiti dhaifu basi mtabakia kupokea chenchi iliyobaki kwenye ununuzi wa rada mtafunga midomo jamaa anaendelea kula maisha.
 
Jamani mi naona hamna ushahidi wa kutosha... kuna ushahidi wa kimazingira tu ambao pia ni afifu kama ule wa yulee mwanahabari za rushwa.
 
tatizo mnafikiri somebody care to know! Hivi kuna kitu gani tunaweza kukiandika na kukifafanua ili watu waone ubaya wake? nothing. absolutely nothing.
Mzee mwanakijiji,
Absolutely Nothing, you can say that again;
Tujadili njia za kuyageuza maneno yetu kuwa vitendo:
Nimeyasema haya katika thread nyingine naona niyarudie hapa kuna umuhimu wa Walk the Walk badala ya Talk the Talk! Naona wakati umefika kwa JF kuwa na "ACTION GROUP" ili kujaribu kukabiliana na baadhi matatizo kwa vitendo. Kwa wale mliotanguli kujiunga na kuchangia mawazo kila uchao mniwie radhi in advance ikiwa ninakosea, lakini tumekuwa wazungumzaji na watoa lawama, au Wafagiliaji wa kambi A na Wapondaji wa Kambi B, Wakati ukweli wa mambo ni kuwa Kambi zote hizo zimeoza zinakwenda kwa amri ya Mungu tu.

Matatizo ya UFISADI,RUSHWA,UBADHIRIFU WA MALI ZA TAIFA,UONGOZI MBAYA/MBOVU,UTUMIAJI MBAYA WA MADARAKA na mengine mengi ni baadhi ya mambo ambayo "ACTION GROUP" Ingeweza kukabiliana nayo Kwa kutumia Vyombo na Taasisi za ndani na nje ya Nchi. Ili maswala kama hayo yasipotee na kuishia hewani "ACTION GROUP" Ichukuwe hatua za kuyafikisha katika taasisi za nchi zinazohusika na ikiwa zitakataa kulipokea au zitapuuza basi lipelekwe katika taasisi za kimataifa. Ni jambo litakalohitaji Wakati na Moyo mkuu wa kujitolea na bila shaka fedha za uendeshaji pia zitahitajika, ningependa kusikia hoja zenu:

MZEE MWANAKIJIJI, REV KISHOKA, BUBU ATAKA KUSEMA, FIELDMASHER, ELNINO, MWIBA, GAME THEORY, COMPANERO, JUJUMAN, LOLE GWAKISA na wote ambao majina yenu sikuweza kuyataja kwa leo.
 
J King,
Pesa lazima tupokee kwani ni haki ya Watanzania, na wenzetu sheria ikishaamua, no body is above the Law. Shida, Tabu na Matatizo yapo kwetu.
Badala ya mazungumzo tujadili vitendo, "Action speak lauder than wards"
sikusudii vurugu za kuandamana au ghasia za migomo, hapana. Taaluma za kutumia Taasisi za ndani na nje ya nchi, tukiungana kwa vitendo kama tulivyo hapa kwa maneno naamini We can do it.
 

Ni nani hao kama sio wewe na mimi? Ndio maana haya mambo yanaendelea kuwepo sababu kila mtu anataka mwenzie afanye. Na mwendelezo ndio huohuo hata kwa wanaotakiwa kuchukua jukumu la kutoa maamuzi ya kushitaki hawa watuhumiwa!

Ni maoni yangu tuuuu!
 
. We need somebody to make him talk baada ya hapo anyongwe plus hao washirika wake but not Jakaya Kikwete kwani wamemkamata pabaya na huo ufisadi ndio chanzo cha utajiri wake!!

Why not JK? He should the first one to go to the gallows!
 
Pia baba yake DR Hosea ndie aliemsomoshe Nimrod Mkono kupitia nafasi aliyekuwa nayo katika kanisa la kisabato ,kwa hiyo hawa wanasheria wa enzi hizo wanakamtandao kao akina Mkono,Hosea,Masaba,Chenge na mpwa Felesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…