Unawezaje kumuamini Majaliwa?Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021
Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa
Mara mradi umefikia asilimia 98
Haya sinema la reli limeishia wapi?
huyo alosema msikitini magufuli yuko bize anachapa kazi ikulu unaanzaje kumwamini.Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021
Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa
Mara mradi umefikia asilimia 98
Haya sinema la reli limeishia wapi?
Hivi kuna watu wanamsikiliza na kumuamini majaliwa kwa chochote?Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021
Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa
Mara mradi umefikia asilimia 98
Haya sinema la reli limeishia wapi?
Aisee kumbe hadi brt walikopaYamekula asilimia 60 ya hela zote walizokopa za huo mradi uchwara. Ni kama mwendokasi walivyokopa billion 600 ikatumika billion 250 zingine 350 walilamba.
Halafu wanajionaga wajanjaaaa na kuwaita wengine nyumbu.
Mtaalamu wa hizi drama ni bwana tarehe 40Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021
Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa
Mara mradi umefikia asilimia 98
Haya sinema la reli limeishia wapi?
Simba wa karatasiHiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021
Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa
Mara mradi umefikia asilimia 98
Haya sinema la reli limeishia wapi?
Ni kuchochea nini? Sasa unanifanya niuchukie uzalendo maana nahisi uzalendo ni utaahira, uzalendo kwa tafsiri yako ni kutohoji wala kuulizwa, yaani uzalendo wako ni kutabasamu hata kama mapwido yako yanabanwa na koleoKutaka kujua tulipofika ni uchochezi sio uzalendo