Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Baada ya kupokea mabehewa ya mizigo, ni suala la muhimu sana ma container ya mizigo yanayokwenda ushoroba wa Kati yaanze kusafirishwa Hadi Dodoma kwa SGR na mamlaka iandae bandari kavu Dodoma ili maloli yote yaendayo Rwanda na Burundi yaanze kuchukulia Dodoma badara ya Dar.
Hii itasaidia kupungiza msongamano na kuweka urahisi wa barabara kuhudumia mizigo ya ushoroba wa kusini, mizigo iendayo DRC Zambia na Malawi.
Hii inaweza kuongeza ufanisi wa SGR na kuiongezea mapato.
Tuanze kuchukua hatua taratibu wamiliki wa maloli wazoee ujio wa SGR. Wajipange.
Hii itasaidia kupungiza msongamano na kuweka urahisi wa barabara kuhudumia mizigo ya ushoroba wa kusini, mizigo iendayo DRC Zambia na Malawi.
Hii inaweza kuongeza ufanisi wa SGR na kuiongezea mapato.
Tuanze kuchukua hatua taratibu wamiliki wa maloli wazoee ujio wa SGR. Wajipange.