Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Watanzania sisi washamba hilo nimeligundua nilivyopanda usafiri wa Treni ya SGR. Tulivyoruhusiwa kutoka ndani station kwenda kupanda mabehewa ya treni kila mtu alitoa simu akaanza kujipiga ma photo mpaka mimi ni mmojawapo niliyejipiga picha aisee ama kweli Serikali inatutoa ushamba kupitia miradi ya maendeleo hatukuzoea, haya mambo tulikuwa tunayaona kwenye runinga tu.
Wenzetu South Africa wanayo miaka mingi mpaka wameyachoka, sasa hivi kuna watu hapa bongo wanasifiri ili tu kutoa ushamba wa Treni bila kuwa na jambo la msingi.
Wenzetu South Africa wanayo miaka mingi mpaka wameyachoka, sasa hivi kuna watu hapa bongo wanasifiri ili tu kutoa ushamba wa Treni bila kuwa na jambo la msingi.