SGR imetutoa ushamba Wabongo, kila mtu anajipiga picha Station

Ndio ujue mzee Magu hakuwa na mawazo ya kishamba kama washamba washamba fulani wanaopenda kwenda kutanua katika miji ya watu huko nje wanajitutumua kujiita wao watoto wa mjini.

Bladfucken na bado mnavopiga piga picha hivo wenzenu roho za sonona zinawakereketa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…