Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Hii Treni ya Sgr ingepita Karibu na miji Midogo ya Mdaula, Chalinze, Mlandizi na Kibaha Ingekuwa fursa kubwa sana kiuchumi na Watu wengi wangeishi katika miji hii na kufamya shughuli zao Dar es Salaam kwa Urahisi sana Sijui kwa nini Wenye maamuzi hawakuliina hili
Hii tabia ya kupitisha treni maporini haina Afya
Pia Nimeshangazwa na Manispaa ya Morogoro Kushindwa Kutengeneza Stand ya Abiria karibu na Station ya SGR kioindi chote ambacho Miundo Mbinu ya SGR inajengwa wao walikuwa Wapi?
Hii tabia ya kupitisha treni maporini haina Afya
Pia Nimeshangazwa na Manispaa ya Morogoro Kushindwa Kutengeneza Stand ya Abiria karibu na Station ya SGR kioindi chote ambacho Miundo Mbinu ya SGR inajengwa wao walikuwa Wapi?