Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Wamekimbia fidia. Ingawa una hoja.Hii Treni ya Sgr ingepita Karibu na miji Midogo ya Mdaula, Chalinze, Mlandizi na Kibaha Ingekuwa fursa kubwa sana kiuchumi na Watu wengi wangeishi katika miji hii na kufamya shughuli zao Dar es Salaam kwa Urahisi sana Sijui kwa nini Wenye maamuzi hawakuliina hili
Hii tabia ya kupitisha treni maporini haina Afya
Pia Nimeshangazwa na Manispaa ya Morogoro Kushindwa Kutengeneza Stand ya Abiria karibu na Station ya SGR kioindi chote ambacho Miundo Mbinu ya SGR inajengwa wao walikuwa Wapi?
Ingepita na huku mbweni ingekua poa sanaIngepita Mbezi beach ikatokea salasala ingekuwa poa sana.
Mkuu comment yako naifanyia kazi, shukrani!Siyo kila eneo linafaa kupitiwa na reli.
Reli inataka eneo tambarare lisilo na milima. Hicho ndicho kigezo Cha kwanza.
Hata hivyo reli ya SGR imepitia Wilaya ya Kisarawe Kata ya Kazimzumbwi na Mzenga. Huko ardhi ni bei Chee, hivyo unaweza kwenda kuwekeza huko.
Karibu sana.Mkuu comment yako naifanyia kazi, shukrani!
Nasikia kuna tycoon anataka kujenga apartments Ruvu na SogaHii Treni ya Sgr ingepita Karibu na miji Midogo ya Mdaula, Chalinze, Mlandizi na Kibaha Ingekuwa fursa kubwa sana kiuchumi na Watu wengi wangeishi katika miji hii na kufamya shughuli zao Dar es Salaam kwa Urahisi sana Sijui kwa nini Wenye maamuzi hawakuliina hili
Hii tabia ya kupitisha treni maporini haina Afya
Nauliza shamba bado lipoNasikia kuna tycoon anataka kujenga apartments Ruvu na Soga
Mkuu una ranch nini huko?Ingepita na huku Kimbiji pia ingekuwa jambo la maana sana.
Dah wabongo bana. Yani mmeshajua mipango yangu na nimejitahidi sana kufanya siri.Nasikia kuna tycoon anataka kujenga apartments Ruvu na Soga