joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #321
Lete ushahidi acha kupiga kelele, wenzako wanelilia feasibility study, wamewekewa, wamebaki kung'aa macho, wewe weka ushahidi hadharani, acha kupiga soga, hapa sio kijiweni.Taarifa zipo hiyo ni LOT 2,hizi habari tunajenga reli kwa pesa zetu ni propaganda ila ukweli tumekopa,kukubali au kukataa ni juu yako binafsi
Hiyo hapo umewekewa na Mkikuyu akili timamu, je umeamini kwamba wewe ni boya?Feasibility study sio siri. Na hufanywa si chini ya mwaka - kwa mradi kama wa SGR.
Bado nasubiri mtu aniambie serikali hii ilifanya feasibility study ya SGR lini?
Duhhh ubishi hausaidiiLete ushahidi acha kupiga kelele, wenzako wanelilia feasibility study, wamewekewa, wamebaki kung'aa macho, wewe weka ushahidi hadharani, acha kupiga soga, hapa sio kijiweni.
Hauwezi muona hapa tena. Alifikiri tunaongea hovyo hovyo kama yeyeHiyo hapo umewekewa na Mkikuyu akili timamu, je umeamini kwamba wewe ni boya?
Duhhh ubishi hausaidii
Jinga sana hili jamaa, ukosefu wa kazi unamfanya achanganyikiwe na kuwa na hasira kwa Serikali muda wote.Hauwezi muona hapa tena. Alifikiri tunaongea hovyo hovyo kama yeye
Mfiaukweli wewe sasa badilisha ID uwe mfiauongo
Hivi kati ya Tz na Kenya ni ipi inayotumbukia shimoni.Unaandika essay wakati hujui chochote,unadhani kama jukumu ni kujenga miundombinu ni kujijengea tu unapojisikia kwa sababu ni miundombinu?
Hujui hujui hatua yoyote ya kujenga ni public investment hivyo lazima huo uwekezaji uonyeshe utakavyorejesha hiyo pesa?
Ukikariri hivyo unakuwa kubwa jinga,si ajabu miaka zaidi ya 50 hakuna cha maana mnachofanya zaidi ya kuitumbukiza nchi shimoni na wizi,unatopoka tu kwa vile una domo kubwa
Kafie mbele kule na mithali yako, leta evidence, or else all de rubbish you spent your time writting in this thread is nonsense from another nyumbu.Nimekumbushwa Proverbs 26:4 na an old adage "ne respondeas stulto gloria".
From now, I will remember these two when it concerns you.
Feasibility ilifanywa kitambo sana na shuguli ikafungwa hata website iliokuwa imefunguliwa maalum kuonyesha feasibility na kutafuta wafadhili imefungwa (www.dikkmrail.com)
Unaweza ipata hapa kwa web archivesπππ
πππView attachment 1116446
Hii nimetoa hapa kwa african development bank
Sio kosa lako wewe hadi kufanya haya ni vile unafanya kwa msukumo wa tumbo huko nje huna namna ya kusurvive zaidi ya kubebwa kwa ujira wa kujikimu
Watu dizaini yako mko wengi sana ko enjoy yr foolishness,huwezi kuwa na free mind kulingana na hicho kibarua
Hauwezi muona hapa tena. Alifikiri tunaongea hovyo hovyo kama yeye
Mfiaukweli wewe sasa badilisha ID uwe mfiauongo
Nilifikiria na jadiliana na mtu ana akili..Let me bust you. Niliandika mahali kuwa kuna watu hamjui hata maana ya feasibility study.
Here we go:
(Source: https://www.investopedia.com/terms/f/feasibility-study.asp)
Feasibility Study
REVIEWED BY WILL KENTON
Updated May 7, 2019
What Is a Feasibility Study?
A feasibility study is an analysis that takes all of a project's relevant factors into accountβincluding economic, technical, legal, and scheduling considerationsβto ascertain the likelihood of completing the project successfully. Project managers use feasibility studies to discern the pros and cons of undertaking a project before they invest a lot of time and money into it. Feasibility studies also can provide a company's management with crucial information that could prevent the company from entering blindly into risky businesses.
Understanding Feasibility Studies
A feasibility study is simply an assessment of the practicality of a proposed plan or project. As the name implies, these studies ask: "Is this project feasible? Do we have the people, tools, technology, and resources necessary for this project to succeed?" Also, "Will the project get us the return on investment (ROI) that we need and expect?"
The goal of a feasibility study is to thoroughly understand all aspects of a project, concept, or plan; become aware of any potential problems that could occur while implementing the project; and determine if, after considering all significant factors, the project is viableβthat is, worth undertaking.
The Importance of Feasibility Studies
Feasibility studies are important to business development. They can allow a business to address where and how it will operate; identify potential obstacles that may impede its operations, and recognize the amount of funding it will need to get the business up and running. Feasibility studies also can lead to marketing strategies that could help convince investors or banks that investing in a particular project or business is a wise choice.
ALSO
(Source: http://www.businessdictionary.com/definition/feasibility-study.html)
An analysis and evaluation of a proposed project to determine if it (1) is technically feasible, (2) is feasible within the estimated cost, and (3) will be profitable. Feasibility studies are almost always conducted where large sums are at stake. Also called feasibility analysis. See also cost benefit analysis
Read more: http://www.businessdictionary.com/definition/feasibility-study.html
WEWE UMELETA NINI HAPA? Expression of Interest (EOI).
And is what is an EOI?
(Source: https://corporatefinanceinstitute.c...e/finance/what-is-expression-of-interest-eoi/)
An Expression of Interest (EOI) is one of the initial transaction documents. ... The EOI indicates a serious interest from the buyer that their company would be interested to pay a certain valuation and acquire the seller's company through a formal offer.
ALSO
(Source: https://www.yourdictionary.com/expression-of-interest)
A call to potential providers of goods and/or services to register interest in supplying them.Commonly a document describing requirements or specifications and seeking information from potential providers that demonstrate their ability to meet those requirements.
NA UMELETA EOI YA RWANDA!!!!!
See here: Jul 18, 2016 - Prepared for: Rwanda Transport. available from http://www.dikkmrail.com accessed July 11, 2016. 11 Source: Document E2 (Appendix 5) ... Angalia hata address iliyopo kwenye hiyo EOI uliyoileta hapa:
The Director General
Rwanda Transport Development Agency
P.O. Box 6674
Kigali
Rwanda
Furthemore kuonyesha UONGO/UZUSHI/NA UMBUMBU WAKO:
Hakuna mahali popote ambapo project website hufungwa kabla mradi kuisha.
Concluding question:
Kwa hiyo ina maana ccm imetumia EOI ya Rwanda kama project feasibility study ya SGR?
Nasubiri majibu.
Unatia aibu. Mara nyingi nimesema wewe ni mjinga wa wajinga tu humu ndani hakuna unachokijua. Wewe ni ku comment tu sababu una data. Mwenzako kakubainishia kati ya EXPRESSION OF INTEREST na FEASIBILITY STUDY lakini sijui kusoma ndio shida au ujinga umekithiri kupita kiasi. Acha kujiaibisha bure πNilifikiria na jadiliana na mtu ana akili..
Nimekupea 2 documents
1)dikkmrail.com - (website is closed but you can access by web archive..Hapo utapata Feasibility study yote ya reli ya Dar-Kigali
2)EOI -Joint expression of intrest by Rwanda & Tanzania for funding of SGR that was deposited with afdb as both countries looked for investors. I only put it there so that you see that dikkmrail.com is not a fake thing as both Wb and Afdb have referenced it as the official feasibility study infomation source.
Siku nyingine usiniletee taka taka za investopedia eti unanielemisha, masomo abayo niko nayo ya uchumi na kazi za serikali ya kenya ambazo nimefanya hadi Treasury sio level hii yako
Wenye akili wameshajua tatizo lilipo. Hata na kwako na apply Proverbs 26:4. Sitaki kuwa kwenye level yako. I happily and gladly declare that.Nilifikiria na jadiliana na mtu ana akili..
Nimekupea 2 documents
1)dikkmrail.com - (website is closed but you can access by web archive..Hapo utapata Feasibility study yote ya reli ya Dar-Kigali
2)EOI -Joint expression of intrest by Rwanda & Tanzania for funding of SGR that was deposited with afdb as both countries looked for investors. I only put it there so that you see that dikkmrail.com is not a fake thing as both Wb and Afdb have referenced it as the official feasibility study infomation source.
Siku nyingine usiniletee taka taka za investopedia eti unanielemisha, masomo abayo niko nayo ya uchumi na kazi za serikali ya kenya ambazo nimefanya hadi Treasury sio level hii yako
Kwa kweli ni watu wa ajabu sana but miradi kama hii huwa inaupigaji kwa faida ya kikundi cha watu kwenye mfumoSi nilikuambia hawa watu hata feasibility study hawaijui? Wameleta Expression of Interest (tena iliyoandaliwa kwa ajili ya Rwanda) kuwa ndio feasibility study ya SGR Tanzania. Nilijua kuwa tuna matatizo, but even then I didn't realize that our problems are much serious than I thought. Usikute hawa ndio watendaji wa serikali hii.
NCHI IMEANGAMIA!
Ona sasa unaleta matamshi ya kinyonge,Wenye akili wameshajua tatizo lilipo. Hata na kwako na apply Proverbs 26:4. Sitaki kuwa kwenye level yako. I happily and gladly declare that.
Hivi hii "production" unairudia kwenye mada ya bandari unakuwa na maana gani? Au bandarini kuna viwanda?Rudia kusoma nilichoandika. Production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania. It is an undeniable fact. Mizigo ya Rwanda na Burundi ni mingi kiasi gani kiasi kwamba existing railways lines isingetosha? Mombasa ni karibu na sehemu yeyote ya Uganda kulinganisha na Dar es Salaam, so why think Uganda preference yao itakuwa ni Dar es Salaam?
Siku tutakapoacha kujisifia vitu tusivyokuwa navyo na kuanza kufanya maamuzi based on facts ndio tutaendelea. Not what we are doing now.
Insanity is doing the same things while expecting different results.
Hivi hii "production" unairudia kwenye mada ya bandari unakuwa na maana gani? Au bandarini kuna viwanda?
πππ MakubwaAm done with this topic for now. Kindly soma posts zangu zote kwenye hii thread. Naangalia cricket England vs Pakistan. And it is a thrilling encounter I dare say. Ciao!