"Deni la serikali limeongezeka na kufikia Sh.Trillioni 51.03 kutoka shilingi Trilioni 49.86 ya mwaka 2018 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 2.35". Waziri Mpango...unafikiri kwanini deni lina zidi kuongezeka kama hatukopiSoma post yangu #356 hapo juu, kisha msikilize Kadogosa hapaSasa kama wahusika huwaamini unataka tukuamini wewe bila ya kuwa na chanzo chochote zaidi ya mawazo yako na tabia ya kutojiamini, itakua ngumu sana.
Nani aliyekuambia hatukopi?, tatizo hutaki kufuatilia mambo kwa karibu unabaki kusikiliza Maneno ya kijiweni, nchi hii inatekekeza miradi mingi sana, baadhi tunakopa na baadhi hatukopi, miradi ya barabara, 70% ni pesa za ndani na 30% ni mikopo, Ubungo interchange na Salender bridge 100% ni mikopo, miradi ya maji, 20% ni mikopo, Upanuzi wa bandari ya Dar ni mkopo 100%. Ila miradi ifuata ni pesa za ndani"Deni la serikali limeongezeka na kufikia Sh.Trillioni 51.03 kutoka shilingi Trilioni 49.86 ya mwaka 2018 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 2.35". Waziri Mpango...unafikiri kwanini deni lina zidi kuongezeka kama hatukopi
Kumbe wewe uko na akili nijifanya unajifanya kichaa ,kama unajua infrastructure huwa hazijengwi na serikali kwa ajili ya faida???sasa mbona unaponda sgr ya Kenya juu inatengeza loss?kitu ambacho nakichukia na nyinyi mududu ya ccm ni double standards na unafiki mingi.Kosa unalolifanya wewe ni kwamba unamtazamo mfupi Sana, wewe unazungumzia faida, nani kakuambia tunajenga SGR ili kupata faida?, hivi nikuulize swali, hii barabara ya Dar - Dodoma- Mwanza tuliyojenga, tumepata faida kiasi gani?. Kwasababu tunaputisha MAGARI yetu bure kabla na baada ya kuweka Lami, hakuna tozo yoyote mpya iliyoongezwa ili kulipia gharama ya hiyo Lami, je Serikali haikupaswa kujenga hiyo barabara kwasababu inapata hasara?.
Hapo sasa tunaelewana nilikua nakuona unapiga chenga tuNani aliyekuambia hatukopi?, tatizo hutaki kufuatilia mambo kwa karibu unabaki kusikiliza Maneno ya kijiweni, nchi hii inatekekeza miradi mingi sana, baadhi tunakopa na baadhi hatukopi, miradi ya barabara, 70% ni pesa za ndani na 30% ni mikopo, Ubungo interchange na Salender bridge 100% ni mikopo, miradi ya maji, 20% ni mikopo, Upanuzi wa bandari ya Dar ni mkopo 100%. Ila miradi ifuata ni pesa za ndani
1)Rufiji hydroelectricity $2.9%, hii yote ni pesa ya ndani hadi mradi kukamilika, hatukopi hata pesa moja
2)SGR, Dar to Makutopora, %3.9B, hii yote ni pesa ya ndani. Ila vipande vitatu vilivyobaki tunafanya mazungumzo na African Development Bank, kama watatoa pesa, wasipotoa tutamaliza wenyewe
3)Dar-Kibaha super highway, tumetumia pesa yetu by 100%.
Tumia akili buda, Kenya lazima mtengeneze faida ili kulipa mkopo na interest, ni sawa na kuchukua mkopo Bank ujenge NYUMBA kwa ajili ya kuishi, utarudishaje huo mkopo?.Kumbe wewe uko na akili nijifanya unajifanya kichaa ,kama unajua infrastructure huwa hazijengwi na serikali kwa ajili ya faida???sasa mbona unaponda sgr ya Kenya juu inatengeza loss?kitu ambacho nakichukia na nyinyi mududu ya ccm ni double standards na unafiki mingi.
Ya Tanzania ya kusafirishia watu na sio mizigo.It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?
Mkopo kwa anili ya Vichwa na mabehewa ya Trein. Sio unjenzi pumba wee. Mafunzo na utalamu mwengine ni mbali na UJENZI wa miundombinuWeka ushahidi kuonyesha tumekopa kujenga SGR
Tafadhali tunaomba ushahidi wapi tumeomba mkopo wa kununua mabehewa na vichwa vya treni.Mkopo kwa anili ya Vichwa na mabehewa ya Trein. Sio unjenzi pumba wee. Mafunzo na utalamu mwengine ni mbali na UJENZI wa miundombinu
Ya Tanzania ya kusafirishia watu na sio mizigo.
Akili za ccm ni kama nyumbu mi sina muda wakushinda nikijibizana na zuzu kama wewe kwaheri....Tumia akili buda, Kenya lazima mtengeneze faida ili kulipa mkopo na interest, ni sawa na kuchukua mkopo Bank ujenge NYUMBA kwa ajili ya kuishi, utarudishaje huo mkopo?.
Kwa sasa hivi lazima mtengeneze faida ili mlipe mkopo, mkishamaliza kurudisha mkopo, itabidi sasa muweze kutengeneza kipato kitakachoweza kugharamia " running & maintenance costs". Kwa Tanzania train ikianza kazi tutshitaji kupata "running & maintenance costs only".
Kwasasa SGR yenu haina uwezo hata wa kuzalisha kipato kwa ajili ya ," running & maintenance cost", serikali inalazimika kutoa pesa kulipa mkopo na running costs.
Mbona hivi ni vitu vidogo sana kueleweka, sasa kama hata mambo madogo Kama haya hamyajui, mtawailiza nini viongozi wenu?, wataendelea kuwadanganya sana.
Hahahahaha, vitu vidogo huvijui unataka kubishana, acha ujingaAkili za ccm ni kama nyumbu mi sina muda wakushinda nikijibizana na zuzu kama wewe kwaheri....
Basi pima kwa fikra zako.Ya kuambiwa changanya na yako. Hao wafanyakazi wa TRC ndiyo wa kwanza kuiuwa TRC kwa wizi.
Hzo ni fikra zako wewe ambazo doesn't seem to make realityYani kuna waTz bado wanamini wanatumia pesa za ndani kujenga reli?!
Mumetumia mkopo wa $1.4b kutoka standard bank kujenga current phase.Commercial lender with high interest rates. First phase ni mkopo kutoka Turkish exim bank. Shida ya serikali yenu ni kuficha mambo au mnajua vizuri ni mkopo lakini mna danganya hapa?
https://www.trademarkea.com/news/standard-chartered-bank-boosts-tanzania-sgr-construction/
Tuseme kwamba sio mkopo, reli kutoka Dar hadi mwanza ita gharamia usd10b. Kila mwaka TRA inakusanya $8b, mkitumia miaka 5 kujenga, inamaanisha kila mwaka $2b itatolewa kwenye TRA bila kuwekwa kwenye bajeti na miradi na mishahara zingine zilipwe? Na tunajua TZ currently inaomba budget support kutoka world bank. Does not make sense.
Uganda with all its exports is only 15% of mombasa port traffic. Very little cargo na yote haiwezi kupitia reli. SGR ya Tz haiwezi beba cargo mingi juu sio double stack and has lower tonnage capacity than Kenya SGR. So only around 120 containers per trip, Kenya does 235 per trip because of stacking, making it cheaper per trip. Mombasa to Nairobi currently carries more cargo than what Dar mwanza will carry if UG, Rwanda, Burundi uses it. But makes a loss, sasa ya Tz itapata faida kivipi?
Alafu bado hamna stima ya kutosha to run the whole railway juu miradi za stima bado hazija jengwa, so for many years capacity will be limited. Tz SGR ni white elephant....
Hahahahaha, this is insane thinking, Kenya imports more than it exports, second, Tanzania haijakopa kwahiyo haina deni lolote la kulipa, hivyo tutahitaji tu pesa ya kugharamia uendeshaji na *repair*, third, electric trains running costs are 70% cheaper than diesel ones.
Kaka, Tanzania ni zaidi ya miradi mitatu, hivi wewe ukijenga nyumba kwa pesa yako, huwezi kukopa kununua gari, au huwezi kukopa kwa ajili ya kulima Shamba?.Tutembee vifua mbele tunajenga miradi kwa pesa zetu. Leo Mh. Mpango anadai deni linapaa kwa sababu ya miradi ya ujenzi!!
Nimwamini nani? Je, ni Mh. Rais au Mh. Mpango? Rais anatuambia tutembee vifua mbele ni kwa pesa za ndani...leo hii Mpango anadai deni la taifa linakua kwa ajili ya miradi ya maendeleo ikiwemo stiegler, uwanja wa ndege, na SGR...www.jamiiforums.com
Tutembee vifua mbele tunajenga miradi kwa pesa zetu. Leo Mh. Mpango anadai deni linapaa kwa sababu ya miradi ya ujenzi!!
Nimwamini nani? Je, ni Mh. Rais au Mh. Mpango? Rais anatuambia tutembee vifua mbele ni kwa pesa za ndani...leo hii Mpango anadai deni la taifa linakua kwa ajili ya miradi ya maendeleo ikiwemo stiegler, uwanja wa ndege, na SGR...www.jamiiforums.com
Leo nilikuwa nasikiliza BBC, wafanya biashara wanapinga kulazimishwa kutumia SGR. Maana inaoneka wanatumia nguvu ili wasafirishaji wasitumie malori.
Kama Kenya wanalazimishwa basi huku kwetu hata viboko vitatumika (endapo hata hiyo reli yenyewe itakamilika). Mbona bima idara zote za serikali na mashirika ya umma wanalazimishwa kwenda NIC, clearing and forwarding zote ziende hiyo kampuni mpya, watumishi wote kutumia TTCL etc, etc, etc?