Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
SGR ya kenya Nairobi - Suswa ipo "empty" Nauli jumulishi ni mia tano ilihali Matatu ni mia moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa sana hadi mizigo mombasa-Nairobi lazima mlazimishwe SGR! Lorry ni elfu 70, SGR nauli elfu 120. Hivi elfu 50 juu ndizo zinamfanya mkose uzalendo kwa SGR ya Mchina? Middle income hamfai kujaza twitter na shobo huku mkiandamana kila siku eti SGR ni bei kali[emoji38][emoji38][emoji38]
Importers - "Container Owners" Kila siku kelele, Hivi 50k juu ya bei ya kawaida inakosesha Matajiri wa middle income usingizi? Uzalendo upo wapi?Hao wenyw makontena mbona hawandamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manake wao ndio wanalazimishwa sio madereva wa ma trela...
Kisha eti source twitter...heheeeee, kawaida yetu hyo wakenya..tunamwaga povu mitandaoni kwetu kwetu tu, sasa wewe kenge tia pua yako katika huo mjadala ushangae vile matokeo yatapinduliwa...
JARIBU UONE.
Mla albino kwa mihogo ya sumu..uko vipy?Nashangaa sana hadi mizigo mombasa-Nairobi lazima mlazimishwe SGR! Lorry ni elfu 70, SGR nauli elfu 120. Hivi elfu 50 juu ndizo zinamfanya mkose uzalendo kwa SGR ya Mchina? Middle income hamfai kujaza twitter na shobo huku mkiandamana kila siku eti SGR ni bei kali😆😆😆
Sio tu Nairobi-Naivasha, mtambo wa chang'aa unaenda mswaki hata upande wa Mombasa-Nairobi!Nashangaa sana hadi mizigo mombasa-Nairobi lazima mlazimishwe SGR! Lorry ni elfu 70, SGR nauli elfu 120. Hivi elfu 50 juu ndizo zinamfanya mkose uzalendo kwa SGR ya Mchina? Middle income hamfai kujaza twitter na shobo huku mkiandamana kila siku eti SGR ni bei kali😆😆😆
Hahahaha, jibu hoja acha hasira, umeshahau mnavyowachinja Jaluo?Mla albino kwa mihogo ya sumu..uko vipy?
Importers - "Container Owners" Kila siku kelele, Hivi 50k juu ya bei ya kawaida inakosesha Matajiri wa middle income usingizi? Uzalendo upo wapi?
[emoji116][emoji116][emoji116]
[/URL]
White elephant projectSio tu Nairobi-Naivasaha, mtambo wa chang'aa unaenda mswaki hata upande wa Mombasa-Nairobi!
Sio tu Nairobi-Naivasha, mtambo wa chang'aa unaenda mswaki hata upande wa Mombasa-Nairobi!
Ukabila hadi ndani ya bunge, mount Kenya wanamtetea Macharia, stupid.Wako wapi hao wanaolazimishwa tuwaone wakiandamana
shobo limeisha washatoa tongotongo sasa wamefikia uhalisia!Nasikia Wakenya wameanza kujua Mitambo ya Chang'aa nihatari kwa Afya yao
Sasa wamelitenga hahahaha
Sio tu Nairobi-Naivasha, mtambo wa chang'aa unaenda mswaki hata upande wa Mombasa-Nairobi!
hawa wenyewe ni kujishaua tu humu! hamna anayeweza panda Nrb-Naivasha!Sasa kwa nini wakenya wanasusia SGR ambayo timu roho ngumu Kenya JF wanaishangilia sana.
Ukabila hadi ndani ya bunge, mount Kenya wanamtetea Macharia, stupid.
Mbona bendera mbili hizi nchi zimeunganaWhite elephant project
Mbona bendera mbili hizi nchi zimeungana