SGR: Kumbe Kenya ilifikiria iliponunua diesel

Hill povu lako limejaa uchungu bitterness ipo maximum huamini kama ndio hamtakaa muwe na bullet train alafu Tanzania ndio itakua nayo pekee na Rwanda na Uganda sasa. Unatuletea hasira zako kwani sisi ndio wachina waliokatala kuweka stima kwa sgr he he he utajiju mtakua mnaona bullet train kwenye Facebook kutoka Tanzania.
 
hehehe,yao bado inauwezo mdogo sana wa cargo...lakini malimbukeni bado wanabisha😀
 
Povu! Pole sana kwa kutumia nguvu nyingi!
 

How much of Kenya budget is financed by mzungu? Talk of health and education. Lol
 
Mawazo ya kitanzania kama twiga mnyama wetu kuona mbali lakini huwezi kufika .
Nchi ulizotaja hapo Tanzania wala haisogei sio nchi masikini, nchi ambayo bado inategemea Ubungo kama ndio ubongo pakifail giza totoro nchi nzima .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…