DOKEZO SGR LOT 5 Hali ni tete. Wafanyakazi zaidi ya 200 wasimamishwa kazi

DOKEZO SGR LOT 5 Hali ni tete. Wafanyakazi zaidi ya 200 wasimamishwa kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

TwinsOrg_88

Member
Joined
Apr 4, 2024
Posts
5
Reaction score
2
Habari Wana JF,

Hali ni Tete sana Mradi wa reli ya SGR LOT 5 kutoka Isaka to Mwanza ambao upo chini ya ujenzi wa Kampuni CCECC.

Kwa sasa Mradi umesimama ujenzi sababu hela hakuna ya uendeshaji mradi, wamepunguza wafanyakazi zaidi ya 200 na bado wanaendelea kupunguza.

Aliye karibu na Mama amueleze kwamba Miradi mikubwa iliyoanzishwa inasimama na ajira za vijana walipo zinakatishwa kwahiyo wanarudi mtaani.

Ni hayo tu wakuu wangu.

Na, Mwandishi wa kujitegemea.

Soma pia > DOKEZO - Mradi wa SGR LOT 5 Ujenzi unasuasua sana

=====

UPDATES: 13 APRIL 2024

=====

Jamila Mbarouk Mkuu wa Kitengo habari na Uhusiano wa TRC, amesema kazi inaendelea kama kawaida na mradi umefika 54%.

Amesema kazi kubwa inayofanyika sasa ni ujenzi wa tuta la Reli . Lakini kutoka na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchi nzima, kuna baadhi ya Shughuli zimesimama kutokana na wingi wa maji.
 
Habari Wana JF,

Hali ni Tete sana Mradi wa reli ya SGR LOT 5 kutoka Isaka to Mwanza ambao upo chini ya ujenzi wa Kampuni CCECC.

Kwa sasa Mradi umesimama ujenzi sababu hela hakuna ya uendeshaji mradi, wamepunguza wafanyakazi zaidi ya 200 na bado wanaendelea kupunguza.

Aliye karibu na Mama amueleze kwamba Miradi mikubwa iliyoanzishwa inasimama na ajira za vijana walipo zinakatishwa kwahiyo wanarudi mtaani.

Ni hayo tu wakuu wangu.

Na, Mwandishi wa kujitegemea.

Soma pia > DOKEZO - Mradi wa SGR LOT 5 Ujenzi unasuasua sana
Mama kazi imemshinda....Yepi wamesimama tangu Oct kati Tabora na Dodoma hakuna kitu wakandarasi wanadai sana kila siku story za TRC na Yepi hela hakuna kutoka hazina.....ADB wametukopesha nadhani wamechepusha hizo pesa.....acha isimame....tulisema kujwnga SGR ujanja ujanja miaka 20.....ma chawa wakabisha......
 
Si ni juzi juzi tu serikali walipewa fungu kwa ajili ya huu mradi? Ina maana hela walizopewa zimeenda wapi?
 
Habari Wana JF,

Hali ni Tete sana Mradi wa reli ya SGR LOT 5 kutoka Isaka to Mwanza ambao upo chini ya ujenzi wa Kampuni CCECC.

Kwa sasa Mradi umesimama ujenzi sababu hela hakuna ya uendeshaji mradi, wamepunguza wafanyakazi zaidi ya 200 na bado wanaendelea kupunguza.

Aliye karibu na Mama amueleze kwamba Miradi mikubwa iliyoanzishwa inasimama na ajira za vijana walipo zinakatishwa kwahiyo wanarudi mtaani.

Ni hayo tu wakuu wangu.

Na, Mwandishi wa kujitegemea.

Soma pia > DOKEZO - Mradi wa SGR LOT 5 Ujenzi unasuasua sana
Zimbabwe way
 
Mama anagwa hela kwa Simba na Yanga,mkwe natoa misaada ya mamilioni jimboni kwake,mtoto anagawa hela kwa watu kwa niaba ya mama ake. Hii nchi inasikitisha sana
 
Pesa zinaliwa kila kukicha na pia maandalizi ya uchanguzi yanafanyika. Ukifuatilia kwenye website ya World Bank utaona jinsi gani TZ imekopa pesa ambazo mpaka sasa hujui zimefanya nini.
 
Back
Top Bottom