Unafahamu kitu kinaitwa CYBERATTACK? ndio hiyo sasa!SGR, mbona mnajihujumu wenyewe halafu mnalalamika kwamba watu wanahujumu na wanapaswa kukamatwa na kufungwa adhabu kali? Mimi nadhani kwanza mnapaswa kuwachunguza na kuwachukulia hatua wafanyakazi wenu humo ndani kwani wao ndio wanaweza kuwa wanahujumu.
Online, mtu hawezi kununua tiketi kwa sababu mtandao haufunguki, lakini bado mnaendelea na kazi kama kawaida bila hata kuomba msamaha. Je, kuna shida gani hata kusema "tuvumilieni"? Nyinyi ndio mnapaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa. Ningetukana hapa, lakini najizuia.
CYBERATTACK TRC? basi watoe taarifa hakuna shida.Unafahamu kitu kinaitwa CYBERATTACK? ndio hiyo sasa!
Hakuna kitu kama hicho. System za mashirika ya serikali hata taasisi za serikali huwa kuwa down kwao ni kawaida. Mfano bodi ya mikopo na nida wanajua kabisa kipindi cha kuapply vyuo requests zinakuwa ni kubwa kwa server zao. Lakini hawana muda wa kufanya upgrade za server ziweze kuhandle ongezeko hilo basi ikifika muda huo ni usumbufu kwa wanafunzi miaka rudi miaka nenda.Unafahamu kitu kinaitwa CYBERATTACK? ndio hiyo sasa!
Tatizo liko nje ya uwezo wao kwani sote tunajua wale watoto walitupa mawe na kupasua sikirini ya mtandao wa tikiti, mtandao utarudi baada ya kupata vipuri toka Urusi ambako hivi sasa kuna vita.SGR, mbona mnajihujumu wenyewe halafu mnalalamika kwamba watu wanahujumu na wanapaswa kukamatwa na kufungwa adhabu kali? Mimi nadhani kwanza mnapaswa kuwachunguza na kuwachukulia hatua wafanyakazi wenu humo ndani kwani wao ndio wanaweza kuwa wanahujumu.
Online, mtu hawezi kununua tiketi kwa sababu mtandao haufunguki, lakini bado mnaendelea na kazi kama kawaida bila hata kuomba msamaha. Je, kuna shida gani hata kusema "tuvumilieni"? Nyinyi ndio mnapaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa. Ningetukana hapa, lakini najizuia.