KERO SGR stesheni ya Dar es Salaam haina seats za kutosha eneo la kusubiria. Wakata tiketi pia hawatoshi

KERO SGR stesheni ya Dar es Salaam haina seats za kutosha eneo la kusubiria. Wakata tiketi pia hawatoshi

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
  • Tags Tags
    sgr
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Waiting haina seats za kutosha abiria wanalazimika kusimama for 2 hours, tickets printing area kuna uhaba wa wafanyakazi.

Tunaomba waongeze viti sehemu ya abiri kwa sababu kusumama for 2 hours siyo sahihi.
 
Back
Top Bottom