SGR wanaibia wateja kwenye uzito wa mabegi

SGR wanaibia wateja kwenye uzito wa mabegi

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
GTs,

Naona kuna wizi unaendelea kwenye mizigo kwenye SGR. Kwenye ticket haioneshi kiwango cha uzito kinachoruhusiwa ila wapimaji ndiyo wanakadiria. Kibaya kabisa inaonekana ukila kilo inayozidi ni TZS 4000. Pamoja na kuwa wanatoa receipts za EFD na control number ila naona wizi upo tu maana hizo control number siku hizi zinakuwa linked na account binafsi.

Kwa ufupi SGR upande wa mizigo ni wezi! Kwenye ndege huwa wanasema uzito angalau inaonesha inakuwaje SGR ticket hazioneshi?? Lakini kingine hata hand bag eti unapima yaani begi la laptopi unapima hivi hiyo ni sawa???? Nadhani huu ni mpango wa wizi.
 
SGR_TZ nadhani hawaelewi wanataka nini. Upande mmoja wanataka watoe huduma kama kwenye ndege wakati treni haina sehemu ya kuhifadhi na kuandaa vinywaji na vitafunwa.
Sehemu mahsusi ya kuhifadhi mizigo isiyozidi kilo 25 ndio wanabadilisha kuwa sehemu ya kuhifadhia makabati ya vyakula....
 

Attachments

  • IMG_20250217_191228_831.jpg
    IMG_20250217_191228_831.jpg
    295.9 KB · Views: 2
SGR_TZ nadhani hawaelewi wanataka nini. Upande mmoja wanataka watoe huduma kama kwenye ndege wakati treni haina sehemu ya kuhifadhi na kuandaa vinywaji na vitafunwa.
Sehemu mahsusi ya kuhifadhi mizigo isiyozidi kilo 25 ndio wanabadilisha kuwa sehemu ya kuhifadhia makabati ya vyakula....
Kwa Tz nimewapa miaka 10 tu, hiyo sehému itabeba mihogo
 
Mbona kwenye tiketi wanaonesha uzito unaotakiwa hadi vipimo vya bag linalotakiwa. huwa unasoma tiketi?
Screenshot_20250304-163348.png
 

Attachments

  • Screenshot_20250304-163348.png
    Screenshot_20250304-163348.png
    647.4 KB · Views: 2
GTs,

Naona kuna wizi unaendelea kwenye mizigo kwenye SGR. Kwenye ticket haioneshi kiwango cha uzito kinachoruhusiwa ila wapimaji ndiyo wanakadiria. Kibaya kabisa inaonekana ukila kilo inayozidi ni TZS 4000. Pamoja na kuwa wanatoa receipts za EFD na control number ila naona wizi upo tu maana hizo control number siku hizi zinakuwa linked na account binafsi.

Kwa ufupi SGR upande wa mizigo ni wezi! Kwenye ndege huwa wanasema uzito angalau inaonesha inakuwaje SGR ticket hazioneshi?? Lakini kingine hata hand bag eti unapima yaani begi la laptopi unapima hivi hiyo ni sawa???? Nadhani huu ni mpango wa wizi.
Serikali urekebishe wizi huu uishe !
 
SGR_TZ nadhani hawaelewi wanataka nini. Upande mmoja wanataka watoe huduma kama kwenye ndege wakati treni haina sehemu ya kuhifadhi na kuandaa vinywaji na vitafunwa.
Sehemu mahsusi ya kuhifadhi mizigo isiyozidi kilo 25 ndio wanabadilisha kuwa sehemu ya kuhifadhia makabati ya vyakula....
Ni upuuzi wa Kadogosa kunatakiwa kuwe na behewa la mgahawa lenye counter na mhudumu mmoja! Hii kupita na trolley si practical kwenye treni! Pia sehemu ya kuweka mizigo isiyoingia overhead cabins!
 
Na hapa bado watakuja wale walalamishi watasema ni effect za Ukoloni😂😂😂😂

Ifike mahali tuwapumzishe wakoloni.Sisi waafrika hatuweziiiiiii,,,,,hatuweziiiii,,,acheni kupoteza muda!!!!!

Mimi nitaendelea kuwashukuru wakoloni.Kiasi kwamba ikiwawia radhi warudi tu.Waliwahi sana kutupa uhuru. 60yrs plus tumeprove we didnt deserve it.Tumebaki bado tunawalaumu kama ni waafrika pekee duniani waliotawaliwa.

Hii treni ikifika 2030 bado inapumua nawaagiza MODS wafunge account yangu ya JF🤝
 
Ni upuuzi wa Kadogosa kunatakiwa kuwe na behewa la mgahawa lenye counter na mhudumu mmoja! Hii kupita na trolley si practical kwenye treni! Pia sehemu ya kuweka mixigo isiyoingia overhead cabins!
Sasa kuna kitu kingine cha wizi. Eti upo business class halafu bia wanakuuzia. Yaani maji uliyopewa yakiisha unauziwa shs lefu mbili na ukitaka maji ya moto unaambiwa utoe elfu mbili na hawakupi receipts, yaani kwa ufupi mle ndani kuna mradi wa watu. Wahudumu acha wawepo ni vizuri ila utaratibu uwe mzuri
 
Na hapa bado watakuja wale walalamishi watasema ni effect za Ukoloni😂😂😂😂

Ifike mahali tuwapumzishe wakoloni.Sisi waafrika hatuweziiiiiii,,,,,hatuweziiiii,,,acheni kupoteza muda!!!!!

Mimi nitaendelea kuwashukuru wakoloni.Kiasi kwamba ikiwawia radhi warudi tu.Waliwahi sana kutupa uhuru. 60yrs plus tumeprove we didnt deserve it.Tumebaki bado tunawalaumu kama ni waafrika pekee duniani waliotawaliwa.

Hii treni ikifika 2030 bado inapumia nawaagiza MODS wafunge accaunt yangu ya JF🤝
Hata hao wapigania uhuru walipigania maslai yao binafsi na sio ya waafrika wote we cheki maisha ambayo mwafrika anaishi kama nyani
 
SGR_TZ nadhani hawaelewi wanataka nini. Upande mmoja wanataka watoe huduma kama kwenye ndege wakati treni haina sehemu ya kuhifadhi na kuandaa vinywaji na vitafunwa.
Sehemu mahsusi ya kuhifadhi mizigo isiyozidi kilo 25 ndio wanabadilisha kuwa sehemu ya kuhifadhia makabati ya vyakula....
Wenye mizigo nendeni mkapande mabasi
Msilazimishe kwenye SGR

Wenye mizigo mingi na mikubwa wanapanda mabasi au treni ile ya kawaida sio SGR
 
Sasa kuna kitu kingine cha wizi. Eti upo business class halafu bia wanakuuzia. Yaani maji uliyopewa yakiisha unauziwa shs lefu mbili na ukitaka maji ya moto unaambiwa utoe elfu mbili na hawakupi receipts, yaani kwa ufupi mle ndani kuna mradi wa watu. Wahudumu acha wawepo ni vizuri ila utaratibu uwe mzuri
Mama anaupiga mwingi vibaya mno mitano tena
 
Sasa kuna kitu kingine cha wizi. Eti upo business class halafu bia wanakuuzia. Yaani maji uliyopewa yakiisha unauziwa shs lefu mbili na ukitaka maji ya moto unaambiwa utoe elfu mbili na hawakupi receipts, yaani kwa ufupi mle ndani kuna mradi wa watu. Wahudumu acha wawepo ni vizuri ila utaratibu uwe mzuri
Hizo elfu 2 nazo unaziona nyingi kununua maji business class?

Shida ya nyie vibarua waajiriwa serikalini mnaokatiwa tiketi na waajiri wenu na kupatiwa tiketi za business class wakati kihadhi mlitakiwa muwe economy ndio mnaleta huu upuuuzi

Unalalamikia maji ya elfu business class passenger loooooo

Business Class ni ya watu wenye pesa sio malofa vibarua serikalini Kama wewe

Siku ingine mwambie mwajiri wako akukatia ticket economy huko ndiko saizi yako

Huko kwenye business hakutendei haki
 
Back
Top Bottom