Tazama mzigo huo, mpaka unaingia kaburini Nchi yako haitakaa imiliki kitu kama hikiView attachment 1370927
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo changamoto zitazidi maana tz tunaimalisha miundombinu yetu wewe subiri mwaka ndiyo huu utajua ujui ,mchina mwenyewe kagundua kabugi kujenga reli ya Kenya sema kinacho msaidia na kumlinda mchina ni mikataba aliyo ingia na government yenu yaani hasara ya sesijiara yenu ni juu ya wakenya Bali faida ni juu ya wachinaKinachotia moyo ni kwamba changamoto zinazidi kupungua, yaani 18 trains a day.....
Hizo changamoto zitazidi maana tz tunaimalisha miundombinu yetu wewe subiri mwaka ndiyo huu utajua ujui ,mchina mwenyewe kagundua kabugi kujenga reli ya Kenya sema kinacho msaidia na kumlinda mchina ni mikataba aliyo ingia na government yenu yaani hasara ya sesijiara yenu ni juu ya wakenya Bali faida ni juu ya wachina
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaringa na hilo banda la kuku?Tazama mzigo huo, mpaka unaingia kaburini Nchi yako haitakaa imiliki kitu kama hikiView attachment 1370927
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona viongozi wenu wa Kiserikali wanalikacha nginjangija! Wamelikoroga sasa inabidi walinywe π π πYaani wewe umeamka asubuhi na kitu cha kwanza kufanya ni kuchokora Kenya. Si angalau unywe chai kwanza ndio uanze mashumbilizi? Ni mapema sana obsessed Geza
Nyie ndo wajinga wachina wamewafanyia danganya toto mjengee kituo kizuri ila treni mletee 80km/hr maximum haha sasa hapo sijui kipi cha muhimu muonekano wa kituo au top speed ya treniNi class C kwa sababu stesheni zenu ni banda la kuku. Geza Ulole joto la jiwe
Ila hili la kukacha sherehe za siku 1000 za mtambo wa chang'aa inamaanisha wameipata msg ya kilio cha upigaji wao for the first time Uhuru kasepa!Media za Kenya zinatoa sana povu, vionvozi wao hawana habari, ni kama kumpigia mbuzi gitaa, wanapiga pesa kwa kwenda mbele [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hili la kukacha sherehe za siku 1000 za mtambo wa chang'aa inamaanisha wameipata msg ya kilio cha upigaji wao for the first time Uhuru kasepa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe jamaa wa mwakani mpaka leo utazidi kutupea kalenda....
komora096 unamkumbuka huyu mdau wa mwakani.
Ile siku mtazipa vibali media za kenya kufanya kazi hko dunia itasimama nakwambia