SGR yaazidi kuwapelekea moto wamiliki wa mabasi. Shabiby Line yarudi ruti ya Sumbawanga - Dodoma via Iringa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Baada ya SGR Kuwapelekea moto Matajiri wa Mabasi ,Sasa wameamua kurudi kwenye route ambazo walizotelekeza. Ikumbukwe bwana Shabiby Line imewahi kusafiri hii route ya Swax-Dom Kwa mda mfupi kabla ya kuwakacha Wafipa.πŸ‘‡πŸ‘‡


Ushauri
Sidhani kama atadumu hapo kabla ya kutupa taulo tena maana Abiria wa Moja kwa Moja Dom-Swax wanaweza wasigike hata 15 ,so atalazimika kutegemea Abiria wa njiani ambako atakutana na ushindani mkubwa maana kampuni ni nyingi sana njia kuanzia Tunduma-Dom na Tunduma-Dar.

Bora angeweka routes zifuatazo

1.Mbeya-S/Wanga-Mpanda
2.Tunduma-Mwanza via Mpanda
3.Sumbawanga-Mpanda-Mwanza
4.Sumbawanga-Mpanda-Tabora
5.Sumbawanga-Dodoma via Tabora.

My Take: Matajiri wa Mwanza, wenzenu wa Dom wameshanyolewa na nyie anzeni kutia maji.

Pia, soma: Nawashangaa wenye mabasi kulalamikia Serikali kwa kukosa wateja kisa SGR wakati mikoani mabasi yanajaza hadi pomoni
 
Bora aweke route ya Sumbawanga Dar moja kwa moja,ina wateja wengi sana.
 
Hii SGR ikifika Tabora tu hali kwa matajiri wa kanda ya ziwa itakuwa tete maana route za kwenda kanda ya ziwa itabidi zianzie Tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…