Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wasalamu sioni haja ya kujenga madaraja vivuko vya magari kwenye mapitio ya magari wakati kuna njia mbadala na nafuu kwanini msiinue reli kwa kuongeza ukubwa wa tuta treni ipite juu magari yapite chini kupunguza gharama kama mfano wa karavati kubwa gari zipite chini.
Airport mbomoe nyumba mjenge daraja mmeua uchumi wa pembeni mwa barabara Yale maduka yanategemea watu na magari yapitayo pale, pili ni shortcut ya kuchepuka kwa watakaopita njia ya vumbi kuelekea banana na kinyerezi. Buguruni na Gongo la Mboto mmeinua hizi cross zingine ikiwemo hii ya airport ni kubwa kwanini msiinue tuta kuliko kujenga fly over gharama yote ya nini, daraja lianze kwenye mataa hadi kuvuka FQ hotel karibu kilometa moja ya nini.
Kwanini msiinue tuta la kifusi toka Kipawa hadi Banana Ili kwenye maungio yote magari yapite chini ni gharama nafuu zaidi kuliko kujenga fly over kwenye maungio. Au kwanini msiweke mageti ya umeme na walinzi kama ilivyo ulaya na kwani hio treni itakuwa inapita kila dakika hadi mlazimike kujenga maflyover, hamuoni mtaathiri watumiaji wengine wa barabara? Kama ni speed iwe maporini na sio mijini maana still vivuko visivyo rasmi ni vingi kwa waenda kwa miguu.Pia watu wanahitaji huduma za haraka mfano dharura au ugonjwa yaani uende ukafate kivuko kilometa 2 ndipo urudi position yako ya awali.
Wakati mnafanya project mpende kuwashirikisha na watuamiaji wengine si reli tu ndo wenye haki zote za kutumia ardhi.watu,magari, pikipiki, baiskeli nk navyo vinayo haki SAwa ya kutumia ardhi. Economic of scale na others users haikuzingatiwa kwenye upembuzi uaminifu. Nawasilisha.
MAJIBU
Airport mbomoe nyumba mjenge daraja mmeua uchumi wa pembeni mwa barabara Yale maduka yanategemea watu na magari yapitayo pale, pili ni shortcut ya kuchepuka kwa watakaopita njia ya vumbi kuelekea banana na kinyerezi. Buguruni na Gongo la Mboto mmeinua hizi cross zingine ikiwemo hii ya airport ni kubwa kwanini msiinue tuta kuliko kujenga fly over gharama yote ya nini, daraja lianze kwenye mataa hadi kuvuka FQ hotel karibu kilometa moja ya nini.
Kwanini msiinue tuta la kifusi toka Kipawa hadi Banana Ili kwenye maungio yote magari yapite chini ni gharama nafuu zaidi kuliko kujenga fly over kwenye maungio. Au kwanini msiweke mageti ya umeme na walinzi kama ilivyo ulaya na kwani hio treni itakuwa inapita kila dakika hadi mlazimike kujenga maflyover, hamuoni mtaathiri watumiaji wengine wa barabara? Kama ni speed iwe maporini na sio mijini maana still vivuko visivyo rasmi ni vingi kwa waenda kwa miguu.Pia watu wanahitaji huduma za haraka mfano dharura au ugonjwa yaani uende ukafate kivuko kilometa 2 ndipo urudi position yako ya awali.
Wakati mnafanya project mpende kuwashirikisha na watuamiaji wengine si reli tu ndo wenye haki zote za kutumia ardhi.watu,magari, pikipiki, baiskeli nk navyo vinayo haki SAwa ya kutumia ardhi. Economic of scale na others users haikuzingatiwa kwenye upembuzi uaminifu. Nawasilisha.
MAJIBU