sh 300,000 inatosha kufungua duka? (kiosk)

sh 300,000 inatosha kufungua duka? (kiosk)

Texas Tom.

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
510
Reaction score
273
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo
 
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo
Bunge la katiba
 
Kiduka hii ndogo ya mahitaji madogodogo ya nyumbani? Inatosha kabisa. Ndoo ya mafuta ya kula, kiroba ya sembe, sukari jumla kg 20, box za mbuni, katoni ya sabuni ya unga vile vidogo, katoni ya chumvi, viberiti basi kiduka safi kabisa frame zimejaa! Vikiisha unajazilisha vilivyoisha na vinavyonunuiwa zaidi.
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo
 
Kiduka hii ndogo ya mahitaji madogodogo ya nyumbani? Inatosha kabisa. Ndoo ya mafuta ya kula, kiroba ya sembe, sukari jumla kg 20, box za mbuni, katoni ya sabuni ya unga vile vidogo, katoni ya chumvi, viberiti basi kiduka safi kabisa frame zimejaa! Vikiisha unajazilisha vilivyoisha na vinavyonunuiwa zaidi.
Poa mama shukrani
 
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo
Mkuu laki 3 haitoshi kitu bana hapo hujasema kama unachumba cha biashara ama lah hujatengeneza shelf za duka na rangi ndan...Hiyo itatosha kama unataka kuwa matching guy (machinga).

 
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo

kama una kibanda sawa otherwise iyo ni pesa ya kodi.
 
Mkuu laki 3 haitoshi kitu bana hapo hujasema kama unachumba cha biashara ama lah hujatengeneza shelf za duka na rangi ndan...Hiyo itatosha kama unataka kuwa matching guy (machinga).


Kila kitu kipo ni hela ya bidhaa tuu
 
Wakuu salaam
Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo

unataka kuuza maji ya kandoro au kitu gani ?
 
Back
Top Bottom