Shaa afunguka mengi kuhusu mapenzi yake na Master Jay

Hahahahshahaha naomba list yao mkuuu na picha zao..

namkumbuka tusker baridi,wengine majina yao ni kama dawa za mitishamba hivo ni ngumu kushika majina yao ila nenda kwenye habari mchanganyiko pia jukwaa la siasa utawaona hao 9 waliobakia
 
namkumbuka tusker baridi,wengine majina yao ni kama dawa za mitishamba hivo ni ngumu kushika majina yao ila nenda kwenye habari mchanganyiko pia jukwaa la siasa utawaona hao 9 waliobakia

Nikukumbushe kuna Tango pori na nyamatare nadhani hao wanaongoza zaid yaaan akishaweka naomba picha humuoni tena mpaka kwenye uzi mwingine tena na ni neno hilo hilo
Sipati picha walivyo aiseee
 
Nikukumbushe kuna Tango pori na nyamatare nadhani hao wanaongoza zaid yaaan akishaweka naomba picha humuoni tena mpaka kwenye uzi mwingine tena na ni neno hilo hilo
Sipati picha walivyo aiseee

hao ndio wanaongoza sana. unaweza kuta umri wao ni miaka 45-70 maana maajabu ayahishi
 


nimeangalia hiko kipindi na sijasikia akimtaja huyo master j,hata kama ni kweli arabuni utanyongwa wewe!!!!!!!!!!!!!!!
 
Duh! Simba yupo windo anamlia mingo pundamilia kumbe pundamilia nae kajivua gamba, kula kona sasa basi na yeye anaamua kumlia mingo simba! Sipati picha, kama namuona hivi mdada anajiliza baada kukumbuka "kutendwa" huku kila mmoja akimuona mwenzake ndo kaingia king, kumbe ngoma droo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…