Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari kamili itafuata itashakuwa confirmedLeta habari kamili
wallace karia atakoma hizi lawama zitaenda kwake na nili sense tu kwamba yule wakala alikuwa anataka simba waingie kwenye battle maana kila akihojiwa issue ya uto lazima achomekee na simbaAsante, wakala wa Shaban Djuma
HSC ni genge la wakwepa kodi waliokubuhu enzi za JKsijawahi kuiamini Yanga chini ya gsm yaani jamaa wanaendesha timu kama wanavyoendesha biashara zao kijanja janja tu, mara la liga, mara kalinyozi, mara lamine moro, mara jezi za yanga timu inakula elfu moja tu kila wakiiuza! wanayanga watadanganywa kwani wameshageuzwa mazoba!
Sina uhakika kama kweli Yanga SC wamemsajili huyu Mchezaji, ila nawaonea mno Huruma Waandishi wa Magazeti ya Michezo hasa Mwanaspoti na Championi kwa Kuharibu Credibility yao kwa Kusema ameshasajiliwa Yanga SC na ikaja kujulikana kuwa si kweli.Kama taarifa hii itathibitika basi Shaaban Djuma wa AS Vitta Club atakuwa anaelekea RS Berkane ya Morocco.
Ikumbukwe hivi majuzi miamba ya Jangwani ilijinasibu kumpata kwa kitita cha shs bilioni moja za Kitanzania.
Muda ni mwalimu mzuri.
hata wanajali basi washabiki wenyewe nao waluwalu tu juzi wamepitisha bajeti ya billions 8 kuendesha klabu ,mashabiki wao wanadai hizo ni za usajili tu ukiwafafanulia unakula matusi, hadi huruma yaaniSina uhakika kama kweli Yanga SC wamemsajili huyu Mchezaji, ila nawaonea mno Huruma Waandishi wa Magazeti ya Michezo hasa Mwanaspoti na Championi kwa Kuharibu Credibility yao kwa Kusema ameshasajiliwa Yanga SC na ikaja kujulikana kuwa si kweli.
Hawa ndiyo washabiki wa YangaLeo Maulid Kitenge akisema Yanga Wamesajili Cristiano Ronaldo basi nakuhakikishia Uto wote wanaamini na kuanzisha Nyuzi za kila rangi hapa JF.
Yani Uto wote ni wa kupelekwa Mirembe.
aiseeSina uhakika kama kweli Yanga SC wamemsajili huyu Mchezaji, ila nawaonea mno Huruma Waandishi wa Magazeti ya Michezo hasa Mwanaspoti na Championi kwa Kuharibu Credibility yao kwa Kusema ameshasajiliwa Yanga SC na ikaja kujulikana kuwa si kweli.
Ndio wale tuliopata zero olevo, ungejiongeza kwa kuangalia kwenye mtandao wa Transfer Market huu ujinga usingeuweka hapaSina uhakika kama kweli Yanga SC wamemsajili huyu Mchezaji, ila nawaonea mno Huruma Waandishi wa Magazeti ya Michezo hasa Mwanaspoti na Championi kwa Kuharibu Credibility yao kwa Kusema ameshasajiliwa Yanga SC na ikaja kujulikana kuwa si kweli.