Shabalala na Asante Kwasi nani Zaidi

Shabalala na Asante Kwasi nani Zaidi

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Hawa madogo wanafanyiana sub,kuna mmoja anawika kwa mda halafu mwingine akipata chance anafanyia vizuri,Shabalala alikaa benchi mwanzoni mwa msimu kidogo tumsahau kwa kiwango cha Nkwasi,mara kapewa namba kidogo tunaanza kumsahau Nkwasi.

Ingawa najua Kapombe bado majeruhi.
Ila hawa madogo nani zaidi yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom