Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
We jamaa ni lifara sana hahahahhahaaaaLinakuwa ni limandonga liliona mwana analia sana
Kivipi?Kaoneka atauponza
Anamaanisha Atauponza mpododoKivipi?
Anataka irudisha?Mwanamasumbwi aliyewahi kuzichapa na mandoga nakuibuka na ushindi mzito SHABANI kaoneka amerekodiwa akiwa Katika mahojiano na clouds TV ambapo amesema Kuna siku alikuwa kachoka Hana hata dinali ya kununua kitunguu huku boss mwenye nyumba akihitaji pesa yake ya kodi ambapo amesema baada ya hapo Kuna kijana alimpigia simu akiwa live kwenye mahojiano akasema anamtumia million moja alipotuma akapotea, yani anapiga simu inasema namba unayopiga haipo na huyo mtu hakupiga simu tena mpaka Leo na hajui ni nani aliyetuma. View attachment 2486248
Hata Mimi nawaza hivyoApige collabo na Mandonga
Kama Yanga siyo!Hiyo ndio sadaka! Hapo atashukuriwa Mungu tu! Mungu ana watu bana ...
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mandonga next level, hawezi kukubali marudianoAache ujinga huyo! Amtafute Mandonga faster, warudie lile pambano. Halafu atakuja kuona matunda yake.
Kwa alichokifanya ni kosa na anaweza kushtakiwa maana alitakiwa kurudisha mhamala au kutoa taarifa mamlaka husika.. elimu elimu elimu
Hata mimi nimefikiri hivyo hivyoHuyo alienda kwa Geordevie Ngurumo ya upako isijekuwa anatoa ushuhuda kijanja