simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
du kaaazi kwelikweli, BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE
ManU atwaa
Ushabiki mwingine bana!
Niukweli uliyosema katavi sio kenya tu hata hapa tz watu wanapigana vyupa na kutoana ngeu kisa mpira wakati Drogba na na Nani wakimaliza 90min wanapeana mikono kwa tabasam..Ushabiki mwingine bana!
Niukweli uliyosema katavi sio kenya tu hata hapa tz watu wanapigana vyupa na kutoana ngeu kisa mpira wakati Drogba na na Nani wakimaliza 90min wanapeana mikono kwa tabasam..