..huyu jamaa hajakitendea haki kipaji chake.Huyu ambae aliambiwa aongeze juhudi kwenye mazoezi na kupiga diko heavy matokeo yake akaja kuongeza mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaupiga mwingi?
Hivi Paul Peter wa Azam Yuko wapi?
Hakuuuuuuuunaaaaaaaaaaaa. Kabaki Msuva tuuuuu wa njeKwa sasa ndani ya nchi hatuna mchezaji ambaye ana DNA za Samata kama yupo atajwe.
Una umakini sana. Wengine walikuwa wanajibu bila kujua nachosema.
Nimemchek mtandaoni ,ila Paul hachezi kabisa,nimeangalia almost 80 ya game za Azam this season na sijaona akicheza.Huyo dogo na wenzake wa3 (Ngorongoro Heroes) walifaulu majaribio yaloendeshwa na WAKALA WA FIFA - Kambi Seif, hivo kaondoka nao wote wa4! Dogo anaupiga mwingi sana!
Paul Peter yupo senior team Azam Fc na akina Oscar Masai, Bryson Raphael
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchimbi tehtehKwa sasa ndani ya nchi hatuna mchezaji ambaye ana DNA za Samata kama yupo atajwe.
Yule ni sawa na 0.Nchimbi tehteh
Orlando Power StationYuko timu gani huko?
Yuko ktk academy au?Yupo wa kwangu anacheza Afrika Kusini. Ana nidhamu ya hali ya juu. Imagine ameenda hana anayemjua na ameweza kuishi miaka 4 bila kukata tamaa na kujiunga na makundi ya kihuni. Focus yake ni soka tu.
Sio kwamba wa naenda kwa zamu, kaanza mmoja then wengine wanafuataHuyo dogo na wenzake wa3 (Ngorongoro Heroes) walifaulu majaribio yaloendeshwa na WAKALA WA FIFA - Kambi Seif, hivo kaondoka nao wote wa4! Dogo anaupiga mwingi sana!
Paul Peter yupo senior team Azam Fc na akina Oscar Masai, Bryson Raphael
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa post hii inaonyesha muandishi si mfuatiliaji wa mpira bali ni mtazamaji wa mechi za simba na yanga .Tz kuna wachezaji wazuri sana wapo sema tu huwez kuwajua kwakuwa hufatilii ligi ya vpl au km unaangalia basi ni wachezaji wa magazeti na redio wa simba na yanga ila kuna timu zisizo tajwa kuna vijana wanajituma ni media tu hazija wamulika au labda niseme muda wao bado ila km wanapata mazingira mazuri ni wachezaji wazuri mm naanza na hawa wafuataoNimesikia wazungu wamekutafuta uwape details kuhusu Mbwana Samatta. Na wewe ukaahidi utawaambia kuwa tunao wachezaji aina ya Samatta wengi.
Sina tatizo kabisa na details za Samatta. Sina shida na kuwatangaza vijana wote wenye uwezo kama wa Samata ambao naamini wapo. Tatizo langu, ni je wana thamani ya Samatta?
Maana tuna tamaduni mbaya sana ambazo zimeathiri sana tabia, mitizamo, na maono yetu juu ya mambo muhimu kwenye maisha. Tuna wachezaji wasiojituma, walevi, malaya na wasio na maono.
Wengi wakishadajiliwa Yanga na Simba au Azam wanaona wamefika. Hawajipi muda wa ziada wa mazoezi, hawajitunzi afya zao, kwa ujumla hawana nidhamu.
Watu kama hao, ukiwatambulisha kwa wazungu, wakaenda na tabia za uswahili Swahili, watakuwa kikwazo kwa vijana wengine kama Mbwana Samatta watakaotokea baadae. Kwa sasa sijawaona. Wengi wana ujinga ujinga mwingi tu. Wanacheza kama vile ni mastar wa dunia, kumbe wako Yanga tu au Simba.
Inabidi kuwe na jitihada za maksudi za kubadilisha tamaduni zetu kama kutothamini kazi, kutojali muda, kupenda starehe kuliko kazi, kusema uongo, kutokuwa wavumilivu (tunakata tamaa mapema) tofauti na wazungu utaona zimebaki dakika 2 ila wanaforce hadi wanapata goli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji wa ulaya ni wahuni hawa wa kwetu wakasome, kinachosaidia ni mifumo ya kutambua na kuinua vipaji iliyopo vinawapa mileage.Kwa sasa siwaoni.. Labda wabadirike mara 4 hv tabia na kupanda kiwango(WAJITAMBUE)
Ktk timu daraja la 2. Inaitwa Orlando Power StationYuko ktk academy au?
MTC | 101| [emoji769]
Umri wake , huyo mtafutie timu ya juu zaidi ,apande ligi ya juuKtk timu daraja la 2. Inaitwa Orlando Power Station
Ndiyo nahangaika kuwaona wadau. Ana miaka 24..ila tunaweza chakachua 😃. Ila ligi ikiisha kuna uwezekano mkubwa sana kwenda Ujerumani au kucheza ligi kuu hapohapo Sauzi. Wanamkubali sana. Ana uwezo na anafanya mazoezi makali mno..na hana starehe kabisa.Umri wake , huyo mtafutie timu ya juu zaidi ,apande ligi ya juu
MTC | 101| [emoji769]