Shaffi Dauda kuwa makini

Ni kweli mkuu,Samatta ana nidhamu sana ya kazi,Dauda asije kuwapa wazungu wachezaji wenye vijitabia kama vya TOLU "Hashimu Sabiti" ikatuharibia sifa.
 
Paul peter hyo Dogo namjua vizuri Ila dzain naona km kaisharidhika vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi kuwe na jitihada za maksudi za kubadilisha tamaduni zetu kama kutothamini kazi,
kutojali muda,
kupenda starehe kuliko kazi,
kusema uongo,
kutokuwa wavumilivu (tunakata tamaa mapema)


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm sio fan wa soka ila maneno haya yamenigusa sana na binafsi naomba nikuhakikishie nitayachukua na kuyaongeza katika list ya malengo yangu 2020
 
Feisal Salum anaweza kufanya majaribio popote akapenya. Akijengwa kisaikolojia na akaongezewa tuvitu Fulani kidogo hasa physic atatoboa
 
hivi ajibu ana umri gani? huko simba tu hapati namba sembuse huko ulaya, huyu ni sawa na sanchez wa arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ajib ni zuzu kabisa kama Haruna Moshi,alikataa kwenda Mazembe ili achezee Simba eti kisa Manara huwa anawaambia simba ni Kubwa kama TP Mazembe na Al Ahly
 
Ajibu angekuwa anajituma ni zaidi ya Samata
Mmmh hapo hapana mkuu! Uwezo wa Ajibu ni wa kawaida sana ila mshabiki wake wa uswahilini ndio wana mboost. Ajibu ni sawa na wachezaji wa uingereza ambao wanasifiwa kwao tu ila hawana kiwango kikubwa.
 
Itumike kwa samaki wanaotakiwa kukunjwa angali wabichi, nidhamu inahitaji matendo ya muda mrefu.
Cc: Timu chipukizi
 
Huu ni ulozi!Wakikusoma hao wachezaji wanaweza kuamini maneno yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utafananisha uhuni wa ulaya na bongo wewe, acha kabisa, wachezaji ulaya wengi ni wahuni ile mbaya.

Kwanza nafasi za kusoma kwao ni bwerere sio kama huku kwetu ila uhuni umezidi wanakimbia shule wanaenda kucheza mpira, bahati nzuri unalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa ndani ya nchi hatuna mchezaji ambaye ana DNA za Samata kama yupo atajwe.
Msuva akikaza buti anaweza kufikia nusu ya Samatta...

Otherwise labda tuwe na ndoto za Kichuya. Siyo mbaya kuota mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…