Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
Hapa nilikuwa natania nasikia ni kweli kasimamia showMmh!
Labda kusimamia maboga
naskia ana wengine wa5 wapo nnje ya mipakaShafih naskia anamfanyia mpango dogo kevin
mtendaji mkuu ana nguvu kuliko hata huyo agent wa shadakaHapa nilikuwa natania nasikia ni kweli kasimamia show
Yes SHADAKA ni stand for Shafih Dauda KajunaKampuni inaitwa SHADAKA ambazo ni abbreviation ya majina yake Shafii halafu bado mnabisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndio kitu muhimu. Asante kwa mchango mzuriSawa tu wote watanzania tunafrah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nashukuru kwa mchango wako mzuri. Hawa wote ni watanzania wenzetu yani tunapata faraja sanaShaffih Dauda Kajuna (SHADAKA) hawa wana deal na kazi ya uagent hasa wachezaji wetu wa kibongo tumpongeze shaffih sio kwa samatta tu kiukweli jamaa anatafuta njia kwa wengi kutoka nje
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
kweli mkuu nimependa kuona kuna wazalendo wanafanya uagent hadi europe hii inafungua njia kwa wachezaji wetu wenye vipaji vikubwaMkuu nashukuru kwa mchango wako mzuri. Hawa wote ni watanzania wenzetu yani tunapata faraja sana
[emoji3] haiwezekani, hiyo ndogo sanaMishahara ya kina Pogba,Neymar ipo wazi why wa sammata wanaficha ? Ikute anavuta million 5 kwa wiki TZS.