Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Kwa muda mrefu sasa nimeshangazwa na propaganda chafu zinazoenezwa na Shaffih Dauda kupitia blog yake pamoja na kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM dhidi ya timu ya Yanga.....Shaffih na wenzake akina Ibrahim Masoud ''Maestro'(ambaye ni kiongozi wa watani zetu Simba) kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakiisakama Yanga kupitia blog hiyo na Redio kiasi cha kusema kwamba Yanga inakufa sasa.....
Nataka tu kumwambia Shaffi na wenzake Maestro,Jeff Leya na Alex(Luambano) kwamba pamoja na uzishi na fitna zao Yanga kamwe haitakufa,kutokufanya vizuri mwaka huu si kigezo cha kuitabiria kifo Yanga na akumbuke kwamba Yanga sasa hivi iashika nafasi ya 3 na si ya mwisho wala ya 2 ama 3 kutoka mwishoni sasa iweje awaalike akina Mwaisabula na kuanza kuitabiria Yanga kifo?.....Yanga imeanzishwa mwaka 1935 na bado ipo na itaendelea kuwepo......
Ni upuuzi kuisakama timu ambayo inashika nafasi ya 3 katika msimamo wa ligi na ambayo bado inaweza hata kushika nafasi ya 2......Msimu wa mwaka 1989 Simba iliponea chupuchupu kushuka daraja katika ligi daraja la kwanza lakini hakuna mtu aliyeitabiria Simba kifo.......Chuki binafsi hazijengi,zinabomoa...
Shaffih na Clouds wanaweza kufanya mambo mengi tu mengine badala ya kutwa kucha kuisakama Yanga kwa sababu tu imepoteza mechi 2......Eti 'MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZA SABABU ZA KIFO CHA YANGA'.....Yaani Yanga ife kwa kupoteza mechi na Toto Africans na Kagera Sugar!!!!......Ama kwao Clouds timu kushika nafasi ya 3 ni kiashiria cha kushuka daraja...Yanga ina mechi tatu kumaliza ligi na ikishinda zote inaweza kushika nafasi ya 2....
Shaffih Dauda in Sports.: MTANGAZAJI WA SPORTS XTRA/BAR YA CLOUDS FM/TV ATIMULIWA NA WANACHAMA KWENYE PRESS CONFERENCE YA YANGA!
Shaffih Dauda in Sports.: KAMATI YA TIBAIGANA YAITUPILIA MBALI RUFAA YA YANGA.
Shaffih Dauda in Sports.: OFFICIAL: RUFAA YA YANGA YAPIGWA CHINI !
Shaffih Dauda in Sports.: SIMBA YAZIDI KUCHANUA MAKUCHA NA KUTAMBA KILELENI - YANGA YAPIGWA TENA HUKO KAGERA
Shaffih Dauda in Sports.: MATUKIO YA PICHA UWANJA WA KAITABA YANGA NA KAGERA SUGAR
Shaffih Dauda in Sports.: BAADA YA RUFAA YAO KUTUPWA - YANGA WATAFAKARI CHA KUFANYA
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART 1
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART II
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART III
Shaffih Dauda in Sports.: WASIKILIZE BAKARI MALIMA ' JEMBE ULAYA ' NA MDAU HEAVY D JUU YA YANGA.
Tunajua kwamba mmeamua kuisakama Yanga kwa kujipendekeza TFF ili mpatiwe tenda ya kutengeneza tiketi kwa ajili ya mechi za ligi kuu.....
Yanga: Daima Mbele, Nyuma Mwiko
Nataka tu kumwambia Shaffi na wenzake Maestro,Jeff Leya na Alex(Luambano) kwamba pamoja na uzishi na fitna zao Yanga kamwe haitakufa,kutokufanya vizuri mwaka huu si kigezo cha kuitabiria kifo Yanga na akumbuke kwamba Yanga sasa hivi iashika nafasi ya 3 na si ya mwisho wala ya 2 ama 3 kutoka mwishoni sasa iweje awaalike akina Mwaisabula na kuanza kuitabiria Yanga kifo?.....Yanga imeanzishwa mwaka 1935 na bado ipo na itaendelea kuwepo......
Ni upuuzi kuisakama timu ambayo inashika nafasi ya 3 katika msimamo wa ligi na ambayo bado inaweza hata kushika nafasi ya 2......Msimu wa mwaka 1989 Simba iliponea chupuchupu kushuka daraja katika ligi daraja la kwanza lakini hakuna mtu aliyeitabiria Simba kifo.......Chuki binafsi hazijengi,zinabomoa...
Shaffih na Clouds wanaweza kufanya mambo mengi tu mengine badala ya kutwa kucha kuisakama Yanga kwa sababu tu imepoteza mechi 2......Eti 'MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZA SABABU ZA KIFO CHA YANGA'.....Yaani Yanga ife kwa kupoteza mechi na Toto Africans na Kagera Sugar!!!!......Ama kwao Clouds timu kushika nafasi ya 3 ni kiashiria cha kushuka daraja...Yanga ina mechi tatu kumaliza ligi na ikishinda zote inaweza kushika nafasi ya 2....
Shaffih Dauda in Sports.: MTANGAZAJI WA SPORTS XTRA/BAR YA CLOUDS FM/TV ATIMULIWA NA WANACHAMA KWENYE PRESS CONFERENCE YA YANGA!
Shaffih Dauda in Sports.: KAMATI YA TIBAIGANA YAITUPILIA MBALI RUFAA YA YANGA.
Shaffih Dauda in Sports.: OFFICIAL: RUFAA YA YANGA YAPIGWA CHINI !
Shaffih Dauda in Sports.: SIMBA YAZIDI KUCHANUA MAKUCHA NA KUTAMBA KILELENI - YANGA YAPIGWA TENA HUKO KAGERA
Shaffih Dauda in Sports.: MATUKIO YA PICHA UWANJA WA KAITABA YANGA NA KAGERA SUGAR
Shaffih Dauda in Sports.: BAADA YA RUFAA YAO KUTUPWA - YANGA WATAFAKARI CHA KUFANYA
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART 1
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART II
Shaffih Dauda in Sports.: KENNY MWAISABULA AFUNGUKA: AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA YANGA -PART III
Shaffih Dauda in Sports.: WASIKILIZE BAKARI MALIMA ' JEMBE ULAYA ' NA MDAU HEAVY D JUU YA YANGA.
Tunajua kwamba mmeamua kuisakama Yanga kwa kujipendekeza TFF ili mpatiwe tenda ya kutengeneza tiketi kwa ajili ya mechi za ligi kuu.....
KAMPUNI NNE ZAPITA TENDA YA TIKETI
Kampuni nne kati ya sita zimepita hatua ya kwanza ya mchakato wa kupata moja itakayofanya kazi ya kutengeneza tiketi za elektroniki kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom na nyingine zinazosimamiwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Shughuli ya ufunguzi wa maombi ya hatua ya awali ya kuonesha nia (Expression of Interest) kwa ajili ya tenda hiyo ilifanywa jana (Aprili 19 mwaka huu) na Kamati ya Mipango na Fedha ya TFF ambayo ndiyo Bodi ya Tenda ya shirikisho.
Kampuni ambazo zimepita hatua hiyo ya kwanza sasa zinatakiwa kuwasilisha rasmi tenda zao kwa ajili ya shughuli hiyo ndani ya kipindi cha wiki tatu tangu ulipofanyika ufunguzi wa hatua ya kwanza.
Baadaye Bodi ya Tenda itakutana tena kupitia tenda zitakazokuwa zimewasilishwa na kufanya uteuzi wa kampuni moja itakayofanya kazi hiyo.
Kampuni ambazo zimefanikiwa kuingia katika hatua hiyo ya pili ni CRDB Bank PLC, SKIDATA People Access Inc., Prime Time Promotions na Punchlines (T) Limited.
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Yanga: Daima Mbele, Nyuma Mwiko