Shafii Dauda acha kuchonganisha wasemaji wa Yanga na Simba

mkatagogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
229
Reaction score
44
Nimepitia ukurasa wa instragram wa mtangazaji wa michezo wa clouds FM ya jijin Dar esSalaam sikupendezwa na video za mipasho alizoweka kuhusu wasemaji wa Yanga na Simba.

Hicho anachofanya nikuendeleza uchochezi usiokuwa na maana.
 
Wasemaji wa simba na yanga ni bure kabisa.halafu jerry muro hata danadana mbili hamalizi
 
Sijui ni kwa faida ya nani haya yanayofanywa na huyu jamaa.Uanamichezo gani unaotekwa na uchochezi usio na sababu?
 
Wasemaji wa simba na yanga ni bure kabisa.halafu jerry muro hata danadana mbili hamalizi

Malinzi anaweza piga dana dana moja acha mbili maana muro ni msemaji tuu wa mpira na si mtendaji..watu hawajui hata size ya mpira wa miguu unaotakiwa na wanaongoza virabu vikubwa mpira utaendelea kweli hapo..
 
Wasemaji wa simba na yanga ni bure kabisa.halafu jerry muro hata danadana mbili hamalizi
sijakuelewa mkuu,kwani huyo ni msemaji wa yanga au ni mpiga danadana wa yanga mpaka itushangaze kutomaliza danadana mbili?
 
Shaffih yuko sahihi wewe ndio unatafsiri kama uchochezi lakini Dauda kuna kitu ametuonyesha kuhusu hizi time mbili kongwe...muwe mnajaribu kujiongeza. nimemkosoa sana Dauda lakini kwa hili Hapana.
 
Shaffih yuko sahihi wewe ndio unatafsiri kama uchochezi lakini Dauda kuna kitu ametuonyesha kuhusu hizi time mbili kongwe...muwe mnajaribu kujiongeza. nimemkosoa sana Dauda lakini kwa hili Hapana.

Mbona kuna mambo mengi yakufanya na kusaidia hizo timu hiyo mipasho haina nafas kwanza inamaliza nafas kwenye ukurasa wake
 
Nimepitia ukurasa wa instragram wa mtangazaji wa michezo wa clouds FM ya jijin Dar esSalaam sikupendezwa na video za mipasho alizoweka kuhusu wasemaji wa Yanga na Simba.

Hicho anachofanya nikuendeleza uchochezi usiokuwa na maana.

kwanini hujaandika haya maoni yako huko kwenye page yake ya Instagram??
 
Huwezi kuwa shemasi ukashindwa kukariri hata mistari miwili.Mpira una wenyewe,utaelezaje masuala ya mpira wakati hata soka la shule ya msingi hukugusa?
 
Malinzi anaweza piga dana dana moja acha mbili maana muro ni msemaji tuu wa mpira na si mtendaji..watu hawajui hata size ya mpira wa miguu unaotakiwa na wanaongoza virabu vikubwa mpira utaendelea kweli hapo..

Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa kuwa malinzi alikuwa promota wa ngumi za kulipwa
 
Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa kuwa malinzi alikuwa promota wa ngumi za kulipwa

Miaka ya nyuma nilimkuta kwa mama ntilie na maboxer wake wanakula wali maharage huku wanapanga mapambano
 
Shaffii Dauda Si Ndiye Aliyekuwa Akimtia Upepo Ramadhan Singano (Messi) Akomae Kudai Mkataba Wake Pale SIMBA Umeisha, Mara Mkataba Umekiukwa!! Kumbe Kulikuwa Na Dili La KUMPELEKA AZAM Fc!! Matokeo Yake Yule DOGO Anaozea Bench!! Wkt SIMBA Alikuwa Panga Pangua!!! Sasa Huyo Ni Mwanamichezo!! Ndio Maana Tupo EPL, LA LIGA, BUNDESLIGA, N.k!! Coz Bongo Maneno, Majungu, Fitina, Chuki Na Ubinafsi Mtupu!!
 
kuna waandishi ambao ukisoma makala zao hukosi kuziona fitina, uchochezi, chuki na majungu. waandishi hao ni:

1.SHAFII DAUDA
2.BIN ZUBEIRY
 
kuna waandishi ambao ukisoma makala zao hukosi kuziona fitina, uchochezi, chuki na majungu. waandishi hao ni:

1.SHAFII DAUDA
2.BIN ZUBEIRY

Shaffii ndo anazidi kwa majungu....

kazi yake ni kusoma goal.com na kujifanya mchambuzi wa mpira....

hana lolote yule kifutu..
 
Hapana shaffi yuko sahihi mm ninachoshanga wasemaji wa timu zetu hizi Yanga na Simba huona fahari sana kuzungumzia
 
Inapaswa waangalie kina masau Bwire. Wao wanadeal na timu inayomuhusu.
 
Kiweka video nalo ni kosa,vijana tufanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…